Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi haujakamilika. Picha muhimu sanaaHabari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
Nakazia.Kwa hii Dunia ya utandawazi hakuna haja ya kuwaza upatikanaji wa spare. Ni pesa yako tu iwe mfuko wa shati.
Hili la muhimu sana, maana bei yake imekazaa. Kutoa 25M+++ halaf likazingua kidogo unalipaki itakuwa unyonge sanaaNakazia.
Usinunnue gari hii kama uwezo wako kipesa ni wa mashaka.
Spea utapata tu.
And I Quote "Usije kujichanganya ukanunua hii gari au XC90" alisikika akiongea hivyo fundi mmoja mtaalam wa gari za mzungu Toka gereji maarafu dsmHabari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
Hiyo Volvo mwizi haibiTafuta Toyota Tu
TZ ni nchi pekee duniani ambayo mtu ana uwezo wa kuagiza gari nje ya nchi lakini mtu huyohuyo anaogopa kuagiza Spare nje ya Nchi, Ni maajabu kwa kweli🤣🤣🤣Habari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
Umemaanisha nn mkuuTZ ni nchi pekee duniani ambayo mtu ana uwezo wa kuagiza gari nje ya nchi lakini mtu huyohuyo anaogopa kuagiza Spare nje ya Nchi, Ni maajabu kwa kweli🤣🤣🤣
Nielezee kdg tafadhaliAnd I Quote "Usije kujichanganya ukanunua hii gari au XC90" alisikika akiongea hivyo fundi mmoja mtaalam wa gari za mzungu Toka gereji maarafu dsm
Nielezee kdg tafadhaIiAnd I Quote "Usije kujichanganya ukanunua hii gari au XC90" alisikika akiongea hivyo fundi mmoja mtaalam wa gari za mzungu Toka gereji maarafu dsm
Bila picha uzi haunogi mkuuHabari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
Mkuu binafsi nakushauri fanya kile unapenda Kama mfuko uko vizuri.Habari wanafamilia wa km naomba Msaada mwenye kujua kuhusu hii gari nimeipenda mnoo natamani kuagiza Volvo XC60 haswaa upatikanaji wa spares na changamoto zake.
TZ ni nchi pekee duniani ambayo mtu ana uwezo wa kuagiza gari nje ya nchi lakini mtu huyohuyo anaogopa kuagiza Spare nje ya Nchi, Ni maajabu kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ili muwe wengi eti?Tafuta Toyota Tu