Natamani sana kuagiza hii gari VOLVO XC60

Natamani sana kuagiza hii gari VOLVO XC60

Kuna volvo sedan kali kinoma ipo ilala kuna gereji moja napelekaga gari yangu huwa naiona pale kuna siku nlimuuliza fundi akasema ya mshua mmoja alipewa zawad na wazungu wa kanisa ila kuna kitu imezingua na spea mpk ulaya na 4M,
 
TZ ni nchi pekee duniani ambayo mtu ana uwezo wa kuagiza gari nje ya nchi lakini mtu huyohuyo anaogopa kuagiza Spare nje ya Nchi, Ni maajabu kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu gari tunaagiza mara moja tu sio tatizo je spares tutaagiza mara ngapi?
Maana yake hata kaspea kadogo tu hata fuel gauge kakifa uagize nje kisha usubirie wiki 3 huoni usumbufu hapo
 
[emoji1][emoji1] Tumewaona wengi wenye lugha kama yako.
Umewaona wapi mkuu?

Hakuna spare isiyopatikana ndugu, ni hela yako tu. Masoko yako kibao mtandaona na njia za usafirishaji ni nyingi tu ni kuchagua inayokufaa na muda wako wa uhitaji.
 
Umewaona wapi mkuu?

Hakuna spare isiyopatikana ndugu, ni hela yako tu. Masoko yako kibao mtandaona na njia za usafirishaji ni nyingi tu ni kuchagua inayokufaa na muda wako wa uhitaji.
😄😄 Sawa kabisa fogo.
 
Nachoomba Serikali isikie kilio cha Wananchi wapunguze baadhi ya Tozo kwenye kuingiza Gari watu wa enjoy aina tofauti za magari kama Lilongwe au Lusaka tupo na bandari ila ni waoga kuliko watu wasio na bandari wanatumia gari yeyote na parts wanapata tuu...hiyo gari haina tatizo lolote ukiweza nunua tu.
 
Shida kubwa hapa nchini ni garage zetu, ukileta gari jipya ambalo sii common mafundi wetu hujifunzia hapo na kuliharibu kabisa, fundi hakatai gari atakuambia leta tu watalibomoa wanaanza kuhangaika. Ni bara kua na gari zilizozoeleka au kuna dealer wake hapa nchini.
Automatic zilipokua zinaingia hii kauli walikua wanatumia sana wakiamini katika manual gear leo hii kauli wameisahau wanasema parts na mafundi ..mafundi Tanzania wapo ni vile mnakutana na wabahatishaji harafu mnataka kuaminisha jamii...
 
Automatic zilipokua zinaingia hii kauli walikua wanatumia sana wakiamini katika manual gear leo hii kauli wameisahau wanasema parts na mafundi ..mafundi Tanzania wapo ni vile mnakutana na wabahatishaji harafu mnataka kuaminisha jamii...
Bwana Isanga your right partially, the fact is where are those experts? Mafundi wengi wa mtaani ndio hao. Unless kuwe na dealer mwenye experty service. Otherwise uje na gari ambalo ni jipya amabalo sii common na unategemea mafundi wa mtaani expect anything.
 
Bwana Isanga your right partially, the fact is where are those experts? Mafundi wengi wa mtaani ndio hao. Unless kuwe na dealer mwenye experty service. Otherwise uje na gari ambalo ni jipya amabalo sii common na unategemea mafundi wa mtaani expect anything.
Mkuu mimi gari zangu zote ni hizo mnazouliza humu miaka nenda rudi na wanaotengeneza ni hawa hawa mafundi ukipata parts tuu mafundi wetu wapo vizuri sana...kwa Arusha na Daslm wapo mafundi wazuri
 
[emoji1][emoji1] Sawa kabisa fogo.
Oh polee. Sasa ndio nimekuelewa.

Kumbe tatizo Sio maudhui niliyoweka hapa. Ishu ni kuchukulia mambo personal. Kwenye cyber world ukichukulia kila kitu personal mbona Utaisha mapema Kwa sonona na kutanua mishipa ya moyo tu.

Relax ujifunze.
 
Oh polee. Sasa ndio nimekuelewa.

Kumbe tatizo Sio maudhui niliyoweka hapa. Ishu ni kuchukulia mambo personal. Kwenye cyber world ukichukulia kila kitu personal mbona Utaisha mapema Kwa sonona na kutanua mishipa ya moyo tu.

Relax ujifunze.
Kilichokufanya ukaona nimechukulia mambo personal Ni Nini?
 
Mkuu mimi gari zangu zote ni hizo mnazouliza humu miaka nenda rudi na wanaotengeneza ni hawa hawa mafundi ukipata parts tuu mafundi wetu wapo vizuri sana...kwa Arusha na Daslm wapo mafundi wazuri
Kushusha tank la mafuta la Jaguar XF ilitumia Sio chini ya 3hrs,na hio Ni kwny best garage hapa Arusha.Sijui wengine wa huko mtaani wangetumia masaa mangapi?

Labour charges tu ya kushushia tank sio mchezo.
 
Kushusha tank la mafuta la Jaguar XF ilitumia Sio chini ya 3hrs,na hio Ni kwny best garage hapa Arusha.Sijui wengine wa huko mtaani wangetumia masaa mangapi?

Labour charges tu ya kushushia tank sio mchezo.
Mimi naishi Arusha mafundi wapo wengi sijawahi kusumbuka kutengeneza gari hata liweje labda nipo humo muda mrefu uwe na parts tuu hawashindwi kutengeneza...Fundi anashindwaje kubadili parts yeyote maana kwa mimi gari kwangu linaongea kujua tatizo lake ili uanzie wapi kwa kulitatua...
 
Mimi naishi Arusha mafundi wapo wengi sijawahi kusumbuka kutengeneza gari hata liweje labda nipo humo muda mrefu uwe na parts tuu hawashindwi kutengeneza...Fundi anashindwaje kubadili parts yeyote maana kwa mimi gari kwangu linaongea kujua tatizo lake ili uanzie wapi kwa kulitatua...
😄😄 Kwahio unadhani kwny XF tank lilishushwa tu bila fault codes kusoma sio?
 
Mkuu gari tunaagiza mara moja tu sio tatizo je spares tutaagiza mara ngapi?
Maana yake hata kaspea kadogo tu hata fuel gauge kakifa uagize nje kisha usubirie wiki 3 huoni usumbufu hapo
Tatizo lako umekariri, Nani kakwambia Spare parts ukiagiza unasubiri Wiki 3 dunia ya leo? Jaribu kubadilisha mindset yako. Kingine, gari lamo linapoharibika siyo kitu kibaya pia hata ukipark kwa wiki moja wakati unasubiria matengenezo, kulazimisha kutembea na gari kila siku ni ushamba.
 
Back
Top Bottom