Natamani sana mabibi na mabwana shamba tuanzishe chama chetu cha kututetea

Natamani sana mabibi na mabwana shamba tuanzishe chama chetu cha kututetea

Joined
Jul 25, 2022
Posts
11
Reaction score
21
Natamani sana mabibi na mabwana shamba tuanzishe chama chetu. Ukiangalia wafanyakazi wenzetu kwenye wizara zingine wana vyama vyao vyenye nguvu kuwatetea katika mambo mbalimbali ya maslahi yao!

Sisi tumelala Sana hatuna hata wa kutusemea na badala yake tumegawanyika wengine wanajiona Bora kuliko wengine wakati wote ni wamoja. Mfano watu wa utafiti, ma agri officers, maafisa mifugo na wakufunzi kilimo Kila mtu anajifanyia yake hakuna umoja wakati wote tupo mwamvuli mmoja Wizara ya kilimo na Mifugo (Japo watu wa Mifugo na uvuvi Kama hawasikiki kwenye Kilimo lakini tunategemeana Sana).

Ifike wakati tushikamane tuwe kitu kimoja na kuacha ubaguzi katika kutetea na kuboreshewa maslahi Kama kuongezewa mishahara na kuondoa gepu kubwa lililopo baina yet kisa tu huyu kaenda kuwa Bw au Bibi shamba na huyu kaenda kuwa Mkufunzi au Mtafiti basi maslahi yawe tofauti Sana wakati tumesoma darasa Moja na fani Moja.

Tujitambue Sisi tuna mchango mkubwa katika taifa hili tusibaguane Bali tubebane na kuteteana!
 
Si mmepewa pikipiki nyie kwa ushauri anza na wale unaowafahamu mkianzia hapo mtaanza kujikusanya
 
Wazo zuri tatizo kikianzishwa hicho chama lazima kuwepo michango/makato ya kuendeshea kama ilivyo kwa chama cha Waalimu. Hapo ndo penye shida.
 
Natamani sana mabibi na mabwana shamba tuanzishe chama chetu. Ukiangalia wafanyakazi wenzetu kwenye wizara zingine wana vyama vyao vyenye nguvu kuwatetea katika mambo mbalimbali ya maslahi yao!

Sisi tumelala Sana hatuna hata wa kutusemea na badala yake tumegawanyika wengine wanajiona Bora kuliko wengine wakati wote ni wamoja. Mfano watu wa utafiti, ma agri officers, maafisa mifugo na wakufunzi kilimo Kila mtu anajifanyia yake hakuna umoja wakati wote tupo mwamvuli mmoja Wizara ya kilimo na Mifugo (Japo watu wa Mifugo na uvuvi Kama hawasikiki kwenye Kilimo lakini tunategemeana Sana).

Ifike wakati tushikamane tuwe kitu kimoja na kuacha ubaguzi katika kutetea na kuboreshewa maslahi Kama kuongezewa mishahara na kuondoa gepu kubwa lililopo baina yet kisa tu huyu kaenda kuwa Bw au Bibi shamba na huyu kaenda kuwa Mkufunzi au Mtafiti basi maslahi yawe tofauti Sana wakati tumesoma darasa Moja na fani Moja.

Tujitambue Sisi tuna mchango mkubwa katika taifa hili tusibaguane Bali tubebane na kuteteana!
Nani awasemee wakati taifa limejaa waoga? chukuliwa mfano wa Vyama vya wafanyakazi je kuna kitu wanafanya? Ok vimewekwa mifukoni, je wanachama nao wamewekwa mifukoni?hii nchi in raia waoga kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Dunia, mwisho wa wewe kupelekeshwa ni siku unashuhswa kaburini basi
 
Back
Top Bottom