Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Hukuchagua mke ndugu ulichagua fundi kitandani na haya ndio matokeo yake.
Ndoa ulizozisifia za wake wanne zimetawaliwa na umasikini wa kufa na kupona, watoto zaidi ya 20 elimu hakuna, mtoto wa kike akimaliza darasa la saba anaozeshwa, upuuzi mtupu huu.
Eti wapo vizuri kugawana mirathi, mali huwa inagawanwa au inaendelezwa?
Badili tu dini elekea huko mkuu ndio utajua kuswali mara tano kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umepotea
 
Kwani Ndoa ni nini?.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru ni nini? Nionyeshe kwamba una uhuru nami nitakuonyesha kiwa hauko huru

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Sasa mwanamke huko chini anakuwa mtera au nyumba ya Mungu?
Uchafu tu
 
Viapo vya ndoa ya Kikristo unavijua?
 
You're not a Christian.
Rudi kanisani ukajifunze maana ya Ukristo ni nini kisha urudi tena hapa
 
Hii ni inshara ya wazinzi mpenzi wako na akujue mapema kabla ya ndoa.
.
Mwisho wewe si mkristo
 
Uko na options T be a Moslem basi
 
Wewe ni mzinzi.
 
Wewe Mkristo jina hata Biblia huijui ndio maana unaandika mashudu ya nguruwe
 
We labda umuombe allah huko
 
Manii yanatoka mgongoni sio?
 
Na ni wangapi hapa Tanzania wamepigwa mawe mpaka wakafa??

Unaposema kila mtu anasepa na alichotafuta huu ni uongo. Kama unaona sawa kuongopa basi it's ok no problem
Wewe huwa nakudharau sana.
Unajificha kwenye kivuli cha u_neutral kumbe abdool mkubwa mwenye imani kali.
.
Tanzania haiongozwi na (sharia) sheria za kiislamu, nenda Oman au Saudi kule sharia zinapofanya kazi
 
Wewe huwa nakudharau sana.
Unajificha kwenye kivuli cha u_neutral kumbe abdool mkubwa mwenye imani kali.
.
Tanzania haiongozwi na (sharia) sheria za kiislamu, nenda Oman au Saudi kule sharia zinapofanya kazi
Tafadhali tuoneshe aliyepigwa mawe Oman au Saudi Arabia. Haiwezekani kuwa hizi habari umetoa kichwani mwako tu, tupe ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…