Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Kwa lugha ya kimaandiko ya Biblia sina taaluma nayo ila kwa ulimwengu wetu Uasharati ni (uzinifu ) ndo nilitaka kushangaa kwamba Hata mke/Mme akizini nje ya ndoa bado inataka uendelee kua nae kisa mmefunga ndoa .jawabu nilopata kwa maandiko yako ni kua hilo Unaruhusiwa kutoa TALAKA na kumuacha. Ni kua hata UKRISTO unatambua TALAKA
Asherati hauna maana hiyo. Katafiti uelewe tofauti ya uzinzi na uasherati

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Sawa ila nakwambia siku zote watoto wanajifunza kupitia wanayo yaona,usitegemee mtoto ambaye kakosa malezi ya baba na mama akajua umuhimu wa ndoa au familia.
Uko sahihi kabisa jamii huharibika au kutengenea kutokana na malezi wanayoyapata haswa wakiwa watoto pale ndo wanacopy aina ya maisha watakayoishi peleleza wazazi mkiwa mchagui la kusema mnatukanana na kugombana mbele ya watoto . Na watoto hua na tabia ya Ugomvi na matusi mbele za watu bila kujali
 
Uko sahihi kabisa jamii huharibika au kutengenea kutokana na malezi wanayoyapata haswa wakiwa watoto pale ndo wanacopy aina ya maisha watakayoishi peleleza wazazi mkiwa mchagui la kusema mnatukanana na kugombana mbele ya watoto . Na watoto hua na tabia ya Ugomvi na matusi mbele za watu bila kujali
Sio kutukanana mkishatengena jua kabisa mwanao hatoona umuhimu wa ndoa au kuwa na familia.
 
nilijua tu hii itaishia kwenye UDINI shame on u ulie leta mada ...aibu yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
je parle Hata ya kikristo ukumbini ni mbwembwe zako tu....ukimpenda binti mnakaa pande mbili mkikubaliana mnaenda kwa mchungaji au padre anawafungisha ndoa na cheti chenu juu,ndoa tayari....
Acha kukuza sana mambo hiyo yote wengi hamna pesa za kufanyiia hizo sherehe....wenye pesa mbona wanafanya hizo sherehe???!!
 
All in All...wewe sema ndoa za sikuhizi nyingi zipo hovyo sana

Hakuna uaminifu

Sio kwa Wakristo wala Waislam...hakuna penye inafuu

Utandawazi, tecknolojia na mengine vimeharibu ndoa.

Zamani katika Ukristo Mume mmoja na Mke mmoja na matukio ya hovyo hayakuwa mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naunga mkono hoja
Kuhusu utandawazi ni kweli kabisa
Ukiangalia leo takwimu za ndoa kuharibika au crime ni nyingi sana kuliko miaka iliyopita
Najua wengi watasema populations zimeingezeka laa
Hata tabia za watu zimebadilika sana kwa sababu wengi hawafunzwi maadili na hawajali kwa sasa
Nilipo huku vijana wanaranda mitaani baada ya shule na matokeo yake wanapigana visu kila siku
London kwa mwezi vijana zaidi ya 50 wanapigwa visu na wengi kupoteza maisha
Ni dini zote tu vijana wamekuwa watukutu sana
Ndoa zinaharibika kwa sababu hawafuati misingi ya dini



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Muda si mrefu utakuwa Iman wetu, endelea kufuatilia mengi katika uislam na mengi Sana utayajua. Ila nimependa sana ulivyochambua baadhi ya mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilijua tu hii itaishia kwenye UDINI shame on u ulie leta mada ...aibu yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nikusihi ndugu yangu Usiogope kujadili dini Ogopa kuthihaki dini ya mtu maana Imani ya mtu nia zaidi ya yy mwenyewe ndo maana Mafundisho ya dini yanazidi akili ya mtu ni kwa sababu akili ilotumika Si ya kibinaadamu ni ya Mungu na haita fika siku mwanaadamu na shetan wakafikia hata kichembe cha kusudio lake .Ndo Maana kwa Mkristo mwenye Imani na kushika maandiko Suala LA mke 1 na ndoa ya milele Si tatizo kwake .Na Muislam kuoa wake wengi na kuacha Si tatizo kwake kwa Mujibu wa Imani yake na Mafundisho yake
 
Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .

Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%

Kwa nini nasema hivi?

Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.

Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.

Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).

Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).

Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.

Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.

(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)

Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.

Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.

Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.

Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.


Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).

Kwa waislamu Mume ni master.

Kwa wakristo mume ni partner.

Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.

Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).


Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.

Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.

Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.

Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.

Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
True mkuu ,hata mimi ni muumini wa ndoa za mitala au za kiislamu kuliko za ki kristo japo sitaki kuwa muislamu ila natamani nioe muislamu hawana complications na wanaridhika
Hata marais waislam si unaona mwenyewe tofauti
 
Hakuna mahali uislamu unasema mwanaume aoe wake wanne Ni uongo .

Ifadi ya wanawake ambao mwanaume mwislamu aweza oa Ni wengi atakavyo sababu talaka ruksa anachofanya mfano akifikisha wanne aweza wapa talaka wawili akaoa Wengine wewili hapo tayari anakuwa kafikisha sita Lakini ukimtizama anasema ninao wanne.Baadaye aweza hata wapa talaka wote wanne akaoa Wengine wanne Happ tayari anasomeka wanawake kumi kimahesabu.Ndoa za kiislamu Ni utapeli fulani hivi ambamo mwanaume karuhusiwa na kurani kuwa tapeli
Hupo sawa sana kijana.Hivi wana wa Israel wametokana na mama wangapi vile?.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli, KWENYE UISLAM. Lakini ndoa haina maana hiyo uliyoitoa, ndio maana huko ndoa imepoteza maana yake. Hoja ya msingi hapa tujiulize, kwa nini leo hii divvorce rates imekuwa kubwa kuliko zamani? Nini kimebadilika?

Ukipata jibu la hilo swali utajua mzizi wa tatizo. Mimi ni mkristo, namshukuru Mungu kwa sababu ya ndoa yangu. Napitia changamoto za kawaida tu ambazo hazijalishi kama ni mwislamu ama mkristo, kwa kiasi kikubwa Mungu ameniepusha na majaribu yanayoshinda uwezo wa mwanadamu kuvumilia.

Sasa nikikuambia, habari ya talaka ni mfumo wa mwanamume kumuumiza mwanamke na pia ni roho ya ubinafsi. Ni ngumu kunielewa hapa hata kwa wanawake kwa sababu ya fikra tulizopandikizwa, lakini ni ukweli mweupe kabisa kiwa thamani ya mwanamke hupanda mbele ya jamii pale anapoolewa na hushuka maradufu pale anapoachika.

Mwanamke akiachwa hutazamwa kama bidhaa isiyo na thamani na huongelewa negatively na wanaume walio wengi. Wako wanawake ambao baada ya kuachia walipata ndoa nyingine stable, lakini wengi wao waliishia kuwa wadangaji ama washirika wa waganga wa jadi. Sababu kubwa ni kuwa mwanamke hakuumbwa kuolewa na kuachwa hovyo, kwani thamani yake inaambatana na yule mtu wake wa kwanza, aliyeutoa usichana wake na kumwingiza kwenye daraja ya mwanamke.

Ukitaka kuhibitisha hili jiulize ni wanaume wangapi waliofanikiwa kimaisha watakwenda kuoa mwanamke mwenye ndoa 3, ama ni vijana wangapi ambao wana malengo kimaisha (wasiopumbazwa na maumbo ya kisasa) wataacha kujitwalia mabinti wabichi wakaoe watalaka.

Ndoa za wake wengi ni namna ya KUJIBU TAMAA YA KINGONO YA MWANAMUME kwa kigezo za kumsaidia mwanamke. Watu wamehalalisha uzinzi kwa kujipachika jukumu la kuwasaidia wanawake ingawa mpaka leo hakuna ndoa yenye furaha kwa sababu tu mume ana wake wengi. Huku ni kudanganyana na sio ukweli halisi.

Furaha ya kweli ni ipi? Je,
1. Ni kuoa wanawake wengi?
2. Kuwa na uwezo wa kutoa talaka wakati wowote?

Nasubiri majibu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Kwani nini usiwaulize waumini wenzako kina Flora Mbasha?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu akitoka nje ya ndoa anapigwa mawe mpaka afe, hii sheria igekua ndio ya kitaifa mbona watu wangebakia njia kuu, mchepuko usingekua dili.

Mwanamke haruhusiwi akiwa peke yake nyumbani kupata mgeni au kutembelewa na mgeni wa kiume ambae anaweza kumwoa (sio kaka yake, baba yake, mjomba wake), mpaka mume wake awepo. Na mwanaume pia hivo hivo.

Ndoa ya kiisalmu hakuna kugawana mali 50% pindi mkiachana, kila mtu anasepa na alichotafuta (ila huduma kwa watoto ni lazima kwa mwanaume kutoa).
Na ni wangapi hapa Tanzania wamepigwa mawe mpaka wakafa??

Unaposema kila mtu anasepa na alichotafuta huu ni uongo. Kama unaona sawa kuongopa basi it's ok no problem
 
Umesema kweli, KWENYE UISLAM. Lakini ndoa haina maana hiyo uliyoitoa, ndio maana huko ndoa imepoteza maana yake. Hoja ya msingi hapa tujiulize, kwa nini leo hii divvorce rates imekuwa kubwa kuliko zamani? Nini kimebadilika?

Ukipata jibu la hilo swali utajua mzizi wa tatizo. Mimi ni mkristo, namshukuru Mungu kwa sababu ya ndoa yangu. Napitia changamoto za kawaida tu ambazo hazijalishi kama ni mwislamu ama mkristo, kwa kiasi kikubwa Mungu ameniepusha na majaribu yanayoshinda uwezo wa mwanadamu kuvumilia.

Sasa nikikuambia, habari ya talaka ni mfumo wa mwanamume kumuumiza mwanamke na pia ni roho ya ubinafsi. Ni ngumu kunielewa hapa hata kwa wanawake kwa sababu ya fikra tulizopandikizwa, lakini ni ukweli mweupe kabisa kiwa thamani ya mwanamke hupanda mbele ya jamii pale anapoolewa na hushuka maradufu pale anapoachika.

Mwanamke akiachwa hutazamwa kama bidhaa isiyo na thamani na huongelewa negatively na wanaume walio wengi. Wako wanawake ambao baada ya kuachia walipata ndoa nyingine stable, lakini wengi wao waliishia kuwa wadangaji ama washirika wa waganga wa jadi. Sababu kubwa ni kuwa mwanamke hakuumbwa kuolewa na kuachwa hovyo, kwani thamani yake inaambatana na yule mtu wake wa kwanza, aliyeutoa usichana wake na kumwingiza kwenye daraja ya mwanamke.

Ukitaka kuhibitisha hili jiulize ni wanaume wangapi waliofanikiwa kimaisha watakwenda kuoa mwanamke mwenye ndoa 3, ama ni vijana wangapi ambao wana malengo kimaisha (wasiopumbazwa na maumbo ya kisasa) wataacha kujitwalia mabinti wabichi wakaoe watalaka.

Ndoa za wake wengi ni namna ya KUJIBU TAMAA YA KINGONO YA MWANAMUME kwa kigezo za kumsaidia mwanamke. Watu wamehalalisha uzinzi kwa kujipachika jukumu la kuwasaidia wanawake ingawa mpaka leo hakuna ndoa yenye furaha kwa sababu tu mume ana wake wengi. Huku ni kudanganyana na sio ukweli halisi.

Furaha ya kweli ni ipi? Je,
1. Ni kuoa wanawake wengi?
2. Kuwa na uwezo wa kutoa talaka wakati wowote?

Nasubiri majibu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Hili swali no 1 nila Yakobo kabisa a.k.a Israel.Maana taifa teule na barikiwa limetokana na mama wa 4.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Swali no 2.
Furaha yoyote utokana na uhuru.
Au wewe hata huu msemo "HIYARI YASHINDA UTUMWA" haikufikirishi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mahali uislamu unasema mwanaume aoe wake wanne Ni uongo .

Ifadi ya wanawake ambao mwanaume mwislamu aweza oa Ni wengi atakavyo sababu talaka ruksa anachofanya mfano akifikisha wanne aweza wapa talaka wawili akaoa Wengine wewili hapo tayari anakuwa kafikisha sita Lakini ukimtizama anasema ninao wanne.Baadaye aweza hata wapa talaka wote wanne akaoa Wengine wanne Happ tayari anasomeka wanawake kumi kimahesabu.Ndoa za kiislamu Ni utapeli fulani hivi ambamo mwanaume karuhusiwa na kurani kuwa tapeli
Nenda kaangalie Qur an 4:3-4
 
Nyenyere,
Nawaza UJINGA ikiwa Kiungo cha mwili wako kinaweza kukatwa kuepusha kuharibu viungo vyengine na kulinda Afya yako Ije iwe ndoa ndo kiwe kitu cha milele na mtu mlie juana ukubwani tu na kila mtu na fikra zake .hapo ndo mmoja anawe kupanga kumuua mwenziwe ili awe huru Kwenye uislamu ndoa Si utumwa ni Maslahi na maelewano kama hamna ruhsa kuepukana nayo ili kila mtu awe huru
😀😀😀😀😀😀😀😀

Hoja nzito sana hii
 
Back
Top Bottom