Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Umesema kweli, KWENYE UISLAM. Lakini ndoa haina maana hiyo uliyoitoa, ndio maana huko ndoa imepoteza maana yake. Hoja ya msingi hapa tujiulize, kwa nini leo hii divvorce rates imekuwa kubwa kuliko zamani? Nini kimebadilika?

Ukipata jibu la hilo swali utajua mzizi wa tatizo. Mimi ni mkristo, namshukuru Mungu kwa sababu ya ndoa yangu. Napitia changamoto za kawaida tu ambazo hazijalishi kama ni mwislamu ama mkristo, kwa kiasi kikubwa Mungu ameniepusha na majaribu yanayoshinda uwezo wa mwanadamu kuvumilia.

Sasa nikikuambia, habari ya talaka ni mfumo wa mwanamume kumuumiza mwanamke na pia ni roho ya ubinafsi. Ni ngumu kunielewa hapa hata kwa wanawake kwa sababu ya fikra tulizopandikizwa, lakini ni ukweli mweupe kabisa kiwa thamani ya mwanamke hupanda mbele ya jamii pale anapoolewa na hushuka maradufu pale anapoachika.

Mwanamke akiachwa hutazamwa kama bidhaa isiyo na thamani na huongelewa negatively na wanaume walio wengi. Wako wanawake ambao baada ya kuachia walipata ndoa nyingine stable, lakini wengi wao waliishia kuwa wadangaji ama washirika wa waganga wa jadi. Sababu kubwa ni kuwa mwanamke hakuumbwa kuolewa na kuachwa hovyo, kwani thamani yake inaambatana na yule mtu wake wa kwanza, aliyeutoa usichana wake na kumwingiza kwenye daraja ya mwanamke.

Ukitaka kuhibitisha hili jiulize ni wanaume wangapi waliofanikiwa kimaisha watakwenda kuoa mwanamke mwenye ndoa 3, ama ni vijana wangapi ambao wana malengo kimaisha (wasiopumbazwa na maumbo ya kisasa) wataacha kujitwalia mabinti wabichi wakaoe watalaka.

Ndoa za wake wengi ni namna ya KUJIBU TAMAA YA KINGONO YA MWANAMUME kwa kigezo za kumsaidia mwanamke. Watu wamehalalisha uzinzi kwa kujipachika jukumu la kuwasaidia wanawake ingawa mpaka leo hakuna ndoa yenye furaha kwa sababu tu mume ana wake wengi. Huku ni kudanganyana na sio ukweli halisi.

Furaha ya kweli ni ipi? Je,
1. Ni kuoa wanawake wengi?
2. Kuwa na uwezo wa kutoa talaka wakati wowote?

Nasubiri majibu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Na jingine tuache kudanganyana kuwa mwanaume atakuwa na mkewe mmoja peke yake wanaume tulivyo umbwa ni kutamani tu na ndio maana mwenyezi mungu alie tuumba anatujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio uzuri moja wapo huo sio mtu upendo hamna basi mnaishi tu kama simba na chui’ upendo ukiisha na kutokufikia muafaka basi mnapeana talaka kila mmoja anafanya yake
Hata akiwa na vyuo20 kinachotakiwa ni uhalal tu[emoji1419]

Nina majirani zetu huu ni mwaka wa 15 wanaishi pamoja ila kila mtu na chumba chake’ kila mtu analeta watu wake (wapenzi) Yan wanakomeshana ilihali ni mume na mke kwa ndoa takatifu

Sasa shida yote ya nn??? Ndoa za kiislamu ni nzuri bisha ubishavyo ila ukweli ndo huo
Hakuna kitu kama hicho. Mbona sijui stamina kafanya vinginevyo tofauti na haya uyasemayo. Ndoa ya kikristo inavunjwa panapo uzinzi, atayekwambia vinginevyo ni mwongo.

Ukiona hayo yanatokea na bado wanaishi nyumba moja ujue mke kagoma kuondoka anataka wagawane mali. Ndiyo maana yule jamaa wa kigamboni akaona isiwe tabu akamchukulia gunia mbili za mkaa na kumbanika.
 
Ndoa takatifu ni ipi?
Ndio uzuri moja wapo huo sio mtu upendo hamna basi mnaishi tu kama simba na chui’ upendo ukiisha na kutokufikia muafaka basi mnapeana talaka kila mmoja anafanya yake
Hata akiwa na vyuo20 kinachotakiwa ni uhalal tu[emoji1419]

Nina majirani zetu huu ni mwaka wa 15 wanaishi pamoja ila kila mtu na chumba chake’ kila mtu analeta watu wake (wapenzi) Yan wanakomeshana ilihali ni mume na mke kwa ndoa takatifu

Sasa shida yote ya nn??? Ndoa za kiislamu ni nzuri bisha ubishavyo ila ukweli ndo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mahali uislamu unasema mwanaume aoe wake wanne Ni uongo .

Ifadi ya wanawake ambao mwanaume mwislamu aweza oa Ni wengi atakavyo sababu talaka ruksa anachofanya mfano akifikisha wanne aweza wapa talaka wawili akaoa Wengine wewili hapo tayari anakuwa kafikisha sita Lakini ukimtizama anasema ninao wanne.Baadaye aweza hata wapa talaka wote wanne akaoa Wengine wanne Happ tayari anasomeka wanawake kumi kimahesabu.Ndoa za kiislamu Ni utapeli fulani hivi ambamo mwanaume karuhusiwa na kurani kuwa tapeli
Pia kinacho wapa jeuri ya kufanya hivyo ni vile wanawake wenyewe wanawaokota kwa gharama ndogo hivyo anaona dezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda visiwani kuna watu wana vyuo mpaka 6. Halafu ana miaka 25 tu..
Msichana akikuambia nina vyuo vitatu ujue kaolewa na kuachika mara 3.
Nadhani hujamuelewa,hajasema kwamba waislam hawaachani
 
Na wengi hujisifia kuolewa Mara nyingi kuwa Ni sifa kuwa yeye soko lake liko juu.Vyuo vikiwa vingi Ni sifa kwa wanawake wenzie kuwa usimuone yule kiboko yule sasa hivi chuo Cha nane
Nadhani ungempinga mleta bandiko kwa hoja sio kwa vioja kama hivi
 
Hakuna kitu kama hicho. Mbona sijui stamina kafanya vinginevyo tofauti na haya uyasemayo. Ndoa ya kikristo inavunjwa panapo uzinzi, atayekwambia vinginevyo ni mwongo.

Ukiona hayo yanatokea na bado wanaishi nyumba moja ujue mke kagoma kuondoka anataka wagawane mali. Ndiyo maana yule jamaa wa kigamboni akaona isiwe tabu akamchukulia gunia mbili za mkaa na kumbanika.
Mkuu jirani yangu nyumba zinatizamana mwaka watatu mwananake ana fanya yake mwanaume nae yake baba anatoka na gari yake na Mama hivyohivyo hakuna raha ya Ndoa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na dini Ambayo ukioa ni kama roho haitoki mpaka ufe ni ya Ajabu sana wakati inajua binaadamu tunamapungufu inafika wakati unashindwa kuvumilia mateso anayokupa mwenzio eti kwa kisingizio cha ndoa . Ndoa na kiungo chama mwili wako bora nn ? Watu hutia saini kabisa kiungo kikatwe kunusuru Maisha .Au Yale Magunia ya mkaa Ndio njia sahihi ya matatizo yanapokua hayana suluhu tena
Ndio maana ya Dini, unatakiwa uishinde hiyo changamoto.

Dini ya Kiislam inanyanyasa sana Wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukristo upi wenye hizo ndoa? mana kwa hapa tanzania sijawahi kuona wala kusikia kanisa linalofungisha ndoa za jinsia moja na wala kwenye biblia ambayo ndo muongozo wa kanisa hakuna ndoa ya jinsia moja tena imeandika kabisa ''OLE WAO WAFIRAJI NA WAFILWAJI MANA ZIWA LA MOTO LINAWASUBIRI'', sasa unaponiamba kwenye ukristo kuna hizo ndoa labda unipe mfano
Allah anatupenda sote

Waislam ndio vinara wa NDOA za jinsia moja kwasasa

Nitakuwekea na majina ya Maimamu waliojitangaza rasmi kuwa ni mashoga.
images%20(20).jpeg
images%20(23).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom