Nafahamu wapo wakristo wenye ndoa zao nzuri tu, lakini kuna wengine inatokea bahati mbaya wanakosea kuingia na watu ambao sio sahihi...tungepewa na sisi walau nafasi ya kurekebisha makosa [emoji14]....hata moja tu au mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄😄
Wewe Bhana pambana na hali yako