Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Kichomi na maumivu kwenye hili swala mtazamo wangu narudia wangu

1. Watoto kwenye ndoa za kubahatisha ndio watesekao... maana hubakia na mama au baba wakuja.

2. Wanawake, akishazalishwa, hapa wanne, halafu anapewa talaka makunyanzi usoni, matiti yamefubaa, miguu imeporomoka, macho yameleagea nk ..... thamani, heshima na ubora umeporomoka. Kinachofata nikujipeleke tu bora umeolewa, yaaani unajinyanyasa na kujinyanyapaa mwenyewe. Kwa wanawake wenyeuwezo wao, hugeuka waoaji kujibebea vijibwana vizurulaji mitaani kukidhi haja za ngono. Kila siku chache anafukuza nakuleta kengine.
Hiyo namba moja nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, wazazi wanapofikiria kuachana kwa ufupi wanakuwa wamejifikiria wao wenyewe tu...ni ubinafsi
Namba mbili, kwa hiyo unakubaliana kuwa mwanamke akishaota makunyanzi, matiti kulala anakuwa hafai tena? Basi huna tofauti na wao, tofauti yenu ni kwamba yeye anatoa talaka ila wewe hutatoa bali utamwacha mkeo ndani unaenda nje kutafuta dogodogo...na ndicho wanaume wengi mnachofanya, mnajifanya mna ndoa ya mke mmoja ambayo ni ya maisha yote ila vituko mnavyowafanyia wake zenu havielezeki. Watu mnabaki mnaishi ndani hamsalimiani hayo mahitaji ya ngono anawatimizia nani? Si bado mnatafuta vi slay queen na vimarioo kwaajili ya kukidhi haja zenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo namba moja nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, wazazi wanapofikiria kuachana kwa ufupi wanakuwa wamejifikiria wao wenyewe tu...ni ubinafsi
Namba mbili, kwa hiyo unakubaliana kuwa mwanamke akishaota makunyanzi, matiti kulala anakuwa hafai tena? Basi huna tofauti na wao, tofauti yenu ni kwamba yeye anatoa talaka ila wewe hutatoa bali utamwacha mkeo ndani unaenda nje kutafuta dogodogo...na ndicho wanaume wengi mnachofanya, mnajifanya mna ndoa ya mke mmoja ambayo ni ya maisha yote ila vituko mnavyowafanyia wake zenu havielezeki. Watu mnabaki mnaishi ndani hamsalimiani hayo mahitaji ya ngono anawatimizia nani? Si bado mnatafuta vi slay queen na vimarioo kwaajili ya kukidhi haja zenu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanamke/mwanaume mliechokeshana nikitu kimoja. Mnahistoria....mnaelewana kwa mambo mengi sana


Ukisha nunua suruali mpya au gauni jipya

Hata vinapofubaa ni vyako unaendelea kuvaa tena ukijivuna gauni langu lilikuwa zuri sana likiwa jipya nalipenda sana japo limechakaa lakini nalipenda lipo ndani ya roho yangu.

Lakini huwezi kujivunia suruali aliyoivaa mwenzio muda mrefu na kuitia vilaka kibao nayo imefubaa.....utaanazaje?
 
Hiyo Dini ya kuruhusu kuoa na kuachana ni Dini ya hovyo sana

Si ni bora hiyo ndoa isifungishwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na dini Ambayo ukioa ni kama roho haitoki mpaka ufe ni ya Ajabu sana wakati inajua binaadamu tunamapungufu inafika wakati unashindwa kuvumilia mateso anayokupa mwenzio eti kwa kisingizio cha ndoa . Ndoa na kiungo chama mwili wako bora nn ? Watu hutia saini kabisa kiungo kikatwe kunusuru Maisha .Au Yale Magunia ya mkaa Ndio njia sahihi ya matatizo yanapokua hayana suluhu tena
 
Mwanamke/mwanaume mliechokeshana nikitu kimoja. Mnahistoria....mnaelewana kwa mambo mengi sana


Ukisha nunua suruali mpya au gauni jipya

Hata vinapofubaa ni vyako unaendelea kuvaa tena ukijivuna gauni langu lilikuwa zuri sana likiwa jipya nalipenda sana japo limechakaa lakini nalipenda lipo ndani ya roho yangu.

Lakini huwezi kujivunia suruali aliyoivaa mwenzio muda mrefu na kuitia vilaka kibao nayo imefubaa.....utaanazaje?
Hehehe, kwenye magauni tena loh....hata hivyo unachokisema kingekuwa kinafanyika hivyo ingekuwa raha sana na wala sie wengine tusingekuwa tunatamani Mungu abadilishe sheria zake...yanayofanyika yanatisha ndio maana tuko kwenye maombi Bwana Yesu atengue ile kauli yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na dini Ambayo ukioa ni kama roho haitoki mpaka ufe ni ya Ajabu sana wakati inajua binaadamu tunamapungufu inafika wakati unashindwa kuvumilia mateso anayokupa mwenzio eti kwa kisingizio cha ndoa . Ndoa na kiungo chama mwili wako bora nn ? Watu hutia saini kabisa kiungo kikatwe kunusuru Maisha .Au Yale Magunia ya mkaa Ndio njia sahihi ya matatizo yanapokua hayana suluhu tena
Ndio hapo sasa ndugu yangu, mweh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hapo sasa ndugu yangu, Nisamehe sana nimetumia maneno makali kidogo ila ibaki kila mtu afate imani yake haina haja ya kubezana ukiona imani hiyo haikufai Si watu wanabadili dini Ije iwe Ndoa tu.
 
Ndio maana wenzetu kijana anaoa hata ana miaka 20, 22 wala hana haja ya kumchunguza sana mchumba kwa sababu hana hofu ya kukosea, maana akikosea ana nafasi ya kurekebisa. Huku kwetu kulingana na jinsi dunia inavyokwenda vijana imefika mahali wanaogopa kuingia ndoani kwa sababu anajua akiingia ameingia

Sent using Jamii Forums mobile app
Funga ndoa ya mkataba wa miaka mitatu mitatu au miwili miwli kwa Wakili yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafahamu wapo wakristo wenye ndoa zao nzuri tu, lakini kuna wengine inatokea bahati mbaya wanakosea kuingia na watu ambao sio sahihi...tungepewa na sisi walau nafasi ya kurekebisha makosa [emoji14]....hata moja tu au mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wetu sio Mungu wa uharibifu. Unapomlala mwanamke ukamtoa bikra kisha ukamwacha basi umemweka mashakani. Ana uwezekano mkubwa wa kuishia kutangatanga, ndio maana siki hizi wanawake wameasi ndoa na kugeuka watafutaji. Hii ni kwa sababu wanaume wameasi majukumunyao na kukimbilia kujistarehesha tu.

Mungu habadiliki, ukipanda uharibifu utavuna huo. Ukifuata maagizo yake utaishi, la usipofuata utakufa hakika

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mungu wetu sio Mungu wa uharibifu. Unapomlala mwanamke ukamtoa bikra kisha ukamwacha basi umemweka mashakani. Ana uwezekano mkubwa wa kuishia kutangatanga, ndio maana siki hizi wanawake wameasi ndoa na kugeuka watafutaji. Hii ni kwa sababu wanaume wameasi majukumunyao na kukimbilia kujistarehesha tu.

Mungu habadiliki, ukipanda uharibifu utavuna huo. Ukifuata maagizo yake utaishi, la usipofuata utakufa hakika

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .

Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%

Kwa nini nasema hivi?

Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.

Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.

Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).

Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).

Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.

Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.

(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)

Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.

Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.

Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.

Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.


Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).

Kwa waislamu Mume ni master.

Kwa wakristo mume ni partner.

Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.

Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).


Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.

Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.

Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.

Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.

Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
Boss kiukweli ni kwamba uislam ni dini imejitosheleza haina walakini wala kasoro yyt ila kuna conspiracy iliyo enezwa ulimwenguni ya kuonesha kwamba uislam ni dini ya ma terorist ,dini ya unyanyasaji ila kiukweli hamna kitu kama hicho katika uislam ujuwe kwamba hata uislam wenyew unatufunza kuwaheshimu wanawake,,kuwatunza na tusiwanyanyase kwa namna moja ama nyingine,,soo unapoongelea swala nzima la ndoa ndoa sisi kwetu ni ibada na imewekewa misingi itakayo fatwa ili iendeshwe vizuri itakapo vunjwa basi ujuwe kwamba na ndoa pia itavunjwa hamna mambo ya kulazimishana katika dini hutaki kuishi na mwenzio basi !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu nikushauri yafuatayo.
1. ukristo hujabanwa unaweza badili ukaenda huko kuzuri.
2. Wewe sio mkristo lakini ni mtu wa dini, hujui hata ukristo ni nini. Ukristo huwezi ingia jambo lolote kwa majaribio, iwe ndoa, iwe huduma au wito wowote. hivi vitu havijaribiwi katika ukristo.
mkristo ukitaka kuoa sio swala la kupenda tu ni swala la Mungu kuridhia hio ndoa maana sio majaribio. Ndoa ya kikristo ni ndoa bora kuliko zote duniani kwa sababu inakufanya usiingie ndoa kichwa kichwa lakini umtegemee Mungu katika jambo hilo.

Hausomi hata maandiko maana hata hio biblia unasema inabadirishwa, hii sijawahi kuona popote na haijawahi kutokea biblia ikabadirishwa, hakuna hata neno moja linaweza kuondolewa katika biblia.

Nimeoa ndoa nzuri ya kikristo naifurahia sana, nilimuomba Mungu karibia kwa mwaka mzima, Mungu alipomleta huyu mtu ukweli sijawahi kujuta, anakosea sana lakini bado ni mwanamke bora sana kwangu.

Ndoa yako imekushinda unatafta kichaka, ulikimbilia ndoa ukidhani kazi ya ndoa ni kutiana tu, hujui maana ya ndoa.
 
Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .

Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%

Kwa nini nasema hivi?

Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.

Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.

Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).

Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).

Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.

Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.

(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)

Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.

Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.

Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.

Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.


Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).

Kwa waislamu Mume ni master.

Kwa wakristo mume ni partner.

Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.

Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).


Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.

Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.

Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.

Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.

Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
Kingine umesahau ni kuwa pia ndoa za kiislamu ni very simple ukiamua kufanya mbwembwe ni wewe tu unaweza kuelekezwa nyumba ukaoe kama binti umemridhia na tabia zake ni njema na ww zako ni njema ukaoa siku hiyo hiyo hizo mbwembwe na ukumbini ni utashi wako tu.
 
Cheki huyu jamaa madhaifu yake katika ndoa yake ndo anafanya generalization ndo zote za kiislamu na za kikristo zinachangamoto zake pia mkuu kama haujui mgawanyo wa mali au mirathi kwenye ukristo jielimishe mzee...
 
Cheki huyu jamaa madhaifu yake katika ndoa yake ndo anafanya generalization ndo zote za kiislamu na za kikristo zinachangamoto zake pia mkuu kama haujui mgawanyo wa mali au mirathi kwenye ukristo jielimishe mzee...
pure bogus kabisa
 
Kingine umesahau ni kuwa pia ndoa za kiislamu ni very simple ukiamua kufanya mbwembwe ni wewe tu unaweza kuelekezwa nyumba ukaoe kama binti umemridhia na tabia zake ni njema na ww zako ni njema ukaoa siku hiyo hiyo hizo mbwembwe na ukumbini ni utashi wako tu.

Tumefundishwa kuwa ndoa yenye baraka zaidi ni ile isiyokuwa na gharama nyingi Mkuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Umesema kweli, KWENYE UISLAM. Lakini ndoa haina maana hiyo uliyoitoa, ndio maana huko ndoa imepoteza maana yake. Hoja ya msingi hapa tujiulize, kwa nini leo hii divvorce rates imekuwa kubwa kuliko zamani? Nini kimebadilika?

Ukipata jibu la hilo swali utajua mzizi wa tatizo. Mimi ni mkristo, namshukuru Mungu kwa sababu ya ndoa yangu. Napitia changamoto za kawaida tu ambazo hazijalishi kama ni mwislamu ama mkristo, kwa kiasi kikubwa Mungu ameniepusha na majaribu yanayoshinda uwezo wa mwanadamu kuvumilia.

Sasa nikikuambia, habari ya talaka ni mfumo wa mwanamume kumuumiza mwanamke na pia ni roho ya ubinafsi. Ni ngumu kunielewa hapa hata kwa wanawake kwa sababu ya fikra tulizopandikizwa, lakini ni ukweli mweupe kabisa kiwa thamani ya mwanamke hupanda mbele ya jamii pale anapoolewa na hushuka maradufu pale anapoachika.

Mwanamke akiachwa hutazamwa kama bidhaa isiyo na thamani na huongelewa negatively na wanaume walio wengi. Wako wanawake ambao baada ya kuachia walipata ndoa nyingine stable, lakini wengi wao waliishia kuwa wadangaji ama washirika wa waganga wa jadi. Sababu kubwa ni kuwa mwanamke hakuumbwa kuolewa na kuachwa hovyo, kwani thamani yake inaambatana na yule mtu wake wa kwanza, aliyeutoa usichana wake na kumwingiza kwenye daraja ya mwanamke.

Ukitaka kuhibitisha hili jiulize ni wanaume wangapi waliofanikiwa kimaisha watakwenda kuoa mwanamke mwenye ndoa 3, ama ni vijana wangapi ambao wana malengo kimaisha (wasiopumbazwa na maumbo ya kisasa) wataacha kujitwalia mabinti wabichi wakaoe watalaka.

Ndoa za wake wengi ni namna ya KUJIBU TAMAA YA KINGONO YA MWANAMUME kwa kigezo za kumsaidia mwanamke. Watu wamehalalisha uzinzi kwa kujipachika jukumu la kuwasaidia wanawake ingawa mpaka leo hakuna ndoa yenye furaha kwa sababu tu mume ana wake wengi. Huku ni kudanganyana na sio ukweli halisi.

Furaha ya kweli ni ipi? Je,
1. Ni kuoa wanawake wengi?
2. Kuwa na uwezo wa kutoa talaka wakati wowote?

Nasubiri majibu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Katika Ndoa za kiislam kipengele kina sema hivi ikibidi kuachana muachane kwa wema kwa maana imefika mahala suruhu imeshindikana zimeitwa pande zote mbili za wazazi imeshindikana hapo ndio talaka inatoka na ikitoka taraka mwanamke anakuwa chini ya imaya yako kwa kutoa huduma ndani ya miezi mitatu sasa kama wote mlikuwa na hasira na mmechukiana katika kipindi chote hicho hizo ni hasira za juu kabisa mpaka kushindwa kusameheana na kuachana si ugomvi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom