tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Mbona povu.....siji kuchepuka kwako nungayembe weye!Acha uzwazwa hebu haahhaahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona povu.....siji kuchepuka kwako nungayembe weye!Acha uzwazwa hebu haahhaahahah
Bibi mbona povu?Tafadhali tuoneshe aliyepigwa mawe Oman au Saudi Arabia. Haiwezekani kuwa hizi habari umetoa kichwani mwako tu, tupe ushahidi.
Unaota? Kutaka ushahidi ndiyo povu? niombe wewe ushahidi wa sheria ya kupigana mawe iko wapi nikuwekee.Bibi mbona povu?
Tulia sindano ziingie wewe.....ndoa ya kiislamu ndiyo ya uhakika, hizi za kikristo ni magumashi makubwa! Kama huupendi uislamu si uhamie ukristo kwani umelazimishwa?Unaota? Kutaka ushahidi ndiyo povu? niombe wewe ushahidi wa sheria ya kupigana mawe iko wapi nikuwekee.
Rudi...Tulia sindano ziingie wewe.....ndoa ya kiislamu ndiyo ya uhakika, hizi za kikristo ni magumashi makubwa! Kama huupendi uislamu si uhamie ukristo kwani umelazimishwa?
Sindano imewaingia nyinyi, mada ipo wazi kabisa, kwa kukujuza tu, si ndoa pekee kila kitu katika Uislam ni chema na chepesi sana tena.Tulia sindano ziingie wewe.....ndoa ya kiislamu ndiyo ya uhakika, hizi za kikristo ni magumashi makubwa! Kama huupendi uislamu si uhamie ukristo kwani umelazimishwa?
Mkuu umeigusa familia yetu asee, inshort nikwamba kuna huyo mwenzangu na mie kakutana na mwanaume huko bila hata kuchunguzana hatimae Mimba hiyoNajua unaongea hivyo sababu huna mtoto wa kike au huna dada.
Asingekudanganye mtu wazazi huwaga wanapata wakati mgumu mno hasa mtoto wao anapoachika alafu baya zaidi karudi nyumbani na mtoto ,sababu wanajua mzigo ni wao na aibu ni ya kwao,sikia kwa watu yasikukute.
Alafu wale watoto ndio wanakuwa katili sana kwani hawatojali hisia za mwenzake na hawatoona umuhimu wa ndoa Mwisho siku mnatengeneza kizazi kibaya kisichojua nini maana ya ndoa na familia.
Mwambie huyo.Ndoa ni mtu mwenyewe sio huo wimbo ulioimba.
Umeongea nadharia lakini ufanisi wake katika kutenda ni mtu na mtu.
Biblia nzima haijaweka utaratibu wowote juu ya ndoa zaidi ya kuchukuana ama mvulana kupewa msichana.Kama unabisha weka andiko linaloeleza taratibu za ndoa.ukristo upi wenye hizo ndoa? mana kwa hapa tanzania sijawahi kuona wala kusikia kanisa linalofungisha ndoa za jinsia moja na wala kwenye biblia ambayo ndo muongozo wa kanisa hakuna ndoa ya jinsia moja tena imeandika kabisa ''OLE WAO WAFIRAJI NA WAFILWAJI MANA ZIWA LA MOTO LINAWASUBIRI'', sasa unaponiamba kwenye ukristo kuna hizo ndoa labda unipe mfano
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Boss kiukweli ni kwamba uislam ni dini imejitosheleza haina walakini wala kasoro yyt ila kuna conspiracy iliyo enezwa ulimwenguni ya kuonesha kwamba uislam ni dini ya ma terorist ,dini ya unyanyasaji ila kiukweli hamna kitu kama hicho katika uislam ujuwe kwamba hata uislam wenyew unatufunza kuwaheshimu wanawake,,kuwatunza na tusiwanyanyase kwa namna moja ama nyingine,,soo unapoongelea swala nzima la ndoa ndoa sisi kwetu ni ibada na imewekewa misingi itakayo fatwa ili iendeshwe vizuri itakapo vunjwa basi ujuwe kwamba na ndoa pia itavunjwa hamna mambo ya kulazimishana katika dini hutaki kuishi na mwenzio basi !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yakobo a.k.a Israel alifuata imani ipi basi? Maana watoto wake(wana wa Israel) walitokana na mama wanne.mkuu nikushauri yafuatayo.
1. ukristo hujabanwa unaweza badili ukaenda huko kuzuri.
2. Wewe sio mkristo lakini ni mtu wa dini, hujui hata ukristo ni nini. Ukristo huwezi ingia jambo lolote kwa majaribio, iwe ndoa, iwe huduma au wito wowote. hivi vitu havijaribiwi katika ukristo.
mkristo ukitaka kuoa sio swala la kupenda tu ni swala la Mungu kuridhia hio ndoa maana sio majaribio. Ndoa ya kikristo ni ndoa bora kuliko zote duniani kwa sababu inakufanya usiingie ndoa kichwa kichwa lakini umtegemee Mungu katika jambo hilo.
Hausomi hata maandiko maana hata hio biblia unasema inabadirishwa, hii sijawahi kuona popote na haijawahi kutokea biblia ikabadirishwa, hakuna hata neno moja linaweza kuondolewa katika biblia.
Nimeoa ndoa nzuri ya kikristo naifurahia sana, nilimuomba Mungu karibia kwa mwaka mzima, Mungu alipomleta huyu mtu ukweli sijawahi kujuta, anakosea sana lakini bado ni mwanamke bora sana kwangu.
Ndoa yako imekushinda unatafta kichaka, ulikimbilia ndoa ukidhani kazi ya ndoa ni kutiana tu, hujui maana ya ndoa.
Biblia nzima haijaweka utaratibu wowote juu ya ndoa zaidi ya kuchukuana ama mvulana kupewa na wazizi msichana.Kama una bisha weka andiko linaloeleza taratibu za ndoa au kuoa.mkuu nikushauri yafuatayo.
1. ukristo hujabanwa unaweza badili ukaenda huko kuzuri.
2. Wewe sio mkristo lakini ni mtu wa dini, hujui hata ukristo ni nini. Ukristo huwezi ingia jambo lolote kwa majaribio, iwe ndoa, iwe huduma au wito wowote. hivi vitu havijaribiwi katika ukristo.
mkristo ukitaka kuoa sio swala la kupenda tu ni swala la Mungu kuridhia hio ndoa maana sio majaribio. Ndoa ya kikristo ni ndoa bora kuliko zote duniani kwa sababu inakufanya usiingie ndoa kichwa kichwa lakini umtegemee Mungu katika jambo hilo.
Hausomi hata maandiko maana hata hio biblia unasema inabadirishwa, hii sijawahi kuona popote na haijawahi kutokea biblia ikabadirishwa, hakuna hata neno moja linaweza kuondolewa katika biblia.
Nimeoa ndoa nzuri ya kikristo naifurahia sana, nilimuomba Mungu karibia kwa mwaka mzima, Mungu alipomleta huyu mtu ukweli sijawahi kujuta, anakosea sana lakini bado ni mwanamke bora sana kwangu.
Ndoa yako imekushinda unatafta kichaka, ulikimbilia ndoa ukidhani kazi ya ndoa ni kutiana tu, hujui maana ya ndoa.
Kwa mujibu wa biblia,gharama ya kuoa ni kiasi gani?.Jibu kwa andiko tafadhari.Pia kinacho wapa jeuri ya kufanya hivyo ni vile wanawake wenyewe wanawaokota kwa gharama ndogo hivyo anaona dezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila umemsahau Tamari[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Kwahiyo unaona ni sifa?
Huyo wa vyuo hivyo vyote ni kahaba kama Rahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani ipi hiyo?Maana kizazi teule na barikiwa cha Mungu kimetokana na mama wanne na mume mmoja.All in All...wewe sema ndoa za sikuhizi nyingi zipo hovyo sana
Hakuna uaminifu
Sio kwa Wakristo wala Waislam...hakuna penye inafuu
Utandawazi, tecknolojia na mengine vimeharibu ndoa.
Zamani katika Ukristo Mume mmoja na Mke mmoja na matukio ya hovyo hayakuwa mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemfata pm basi.Naongea na huyo niliyemtag, umetoka wapi?
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Mimi naoa,na tunapo shindwana tabia naachana na huyo mke.Full uhuru.Uhuru ni nini? Nionyeshe kwamba una uhuru nami nitakuonyesha kiwa hauko huru
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Ukristo ni kumfuata Yesu ambaye hakuoa,wewe imekuwaje uoe?.You're not a Christian.
Rudi kanisani ukajifunze maana ya Ukristo ni nini kisha urudi tena hapa