The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Hahaha nimefurahi sana. Yani mimi lazima niitendee haki black belt yangu imekaa kizembe tu kabatini.Big laiti angekua na kisu ilikua inatosha kumwaga mtu utumbo
Huu mchezo ata Mimi naombea unipate
Hapo ndo patamu sasa kwasababu kuna techniques flani za kukwepa risasi counter insurgency dodging techniques yani nakwepa risasi kirahisiii.Mkuu wana bunduki hao! Hizo kick utapiga saa ngapi
Wale inasemekana ni polisi na kuna uwezekano mkubwa walikuwa na cha moto pale, kama unavyosema big angefanya kitu kama angekuwa na kisu basi ingeweza kupelekea wao kutumia cha moto na madhara kuwa makubwa zaidi ikiwemo hata kifo. Halafu ingesaidia nini?Big laiti angekua na kisu ilikua inatosha kumwaga mtu utumbo
Huu mchezo ata Mimi naombea unipate
Nyau de nini ?πKila siku naomba na kutamani zali la kutekwa na wasiojulikuna linipate.
Yani huo mkono ntakavyoutembeza usipime ngumi za uhakika na helicopter kicks za kutosha.
Na kwaanzia hapo itakuwa fundisho na utekaji utakoma.
View attachment 3151179
little master Fake P Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Ushaona movie ya drunken master ya Jackie chan wewe?Usiombe wanaweza kukuvizia ndio umetoka kupiga vismart kama Saba hivi unayumba tu
Usisahau, kuna wanaokuja na SMGBig laiti angekua na kisu ilikua inatosha kumwaga mtu utumbo
Huu mchezo ata Mimi naombea unipate
Usisahau, kuna wanaokuja na SMGKila siku naomba na kutamani zali la kutekwa na wasiojulikuna linipate.
Yani huo mkono ntakavyoutembeza usipime ngumi za uhakika na helicopter kicks za kutosha.
Na kwaanzia hapo itakuwa fundisho na utekaji utakoma.
View attachment 3151179
little master Fake P Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Mkorea mwanetu wa The Gunners wazee wa phase 4,,, oya hao jamaa wanakuwa na vimiguu vya kuku,, inabidi uwawahi umpige kata funua akose hata nguvu ya kumeza mate.Big laiti angekua na kisu ilikua inatosha kumwaga mtu utumbo
Huu mchezo ata Mimi naombea unipate
Tunazingatia na aina ya mtu,usifikiri bahati aliyopata Deo bonge na wewe itakua hivyo hivyo, nitakuja mimi muuza madafu wa ferry utaniweza.Kila siku naomba na kutamani zali la kutekwa na wasiojulikuna linipate.
Yani huo mkono ntakavyoutembeza usipime ngumi za uhakika na helicopter kicks za kutosha.
Na kwaanzia hapo itakuwa fundisho na utekaji utakoma.
View attachment 3151179
little master Fake P Chaliifrancisco
Nyau de adriz
πππ mambo ya drunken master hayoUsiombe wanaweza kukuvizia ndio umetoka kupiga vismart kama Saba hivi unayumba tu