Natamani shuleni tungekuwa tunafundishwa teknolojia ya nguvu za giza na kiroho

Uko sahihi kabisa.
Huwa napenda watu kama wewe , ni watu open minded
 
Hongera kwakuweza kufikiri nje ya Box. Uko na idea nzuri ila jaribu kulifanyia maboresho idea yako na mwisho wako utakuja kujua nini unataka uwe.

Kwa sasa hivi uko na general idea ila fanyia tafiti unachokitaka kisha utakuja kukipata
Ahsante sana. Kwa sasa nataka kusoma teknolojia hii ya kishirikina niijue kwa undani .niwe jeshi kali.
 
Wewe sio Bure una matatizo!

Kwa mfano umri gani wewe?
 
Hawapendi kuwa wakweli ! Wanaweza kuwa wachawi wenyewe au washamba mjini
 
Hakika bruh huyu jamaa anajua mambo yangu. Nasikia hata anasafiria nyota yangu.
Na huwa hapendi mafanikio yangu.
Unasikia?? Kwann unamtuhumu hivyo mkuu, una hakika gani??

Kwenye maisha wengine kutoboa na wengine kutotoboa ni kawaida.
 
Ahsante sana. Kwa sasa nataka kusoma teknolojia hii ya kishirikina niijue kwa undani .niwe jeshi kali.
Tumia simu yako ya android vizuri, hakika ndio mwalimu wako Google ina kila kitu unachokitaka ikisaidiana na YouTube, changamoto ni kujua nini unachokitaka na je nitakipataje kwa kutafuta hayo maarifa google na YouTube....

Kila la kheri
 
anaesema uchawi haupo ujue ni kichaa,biblia,quran imekili unani ubishe....au nyi ndo wachawi wenyewe?
 
Tumia simu yako ya android vizuri, hakika ndio mwalimu wako Google ina kila kitu unachokitaka ikisaidiana na YouTube, changamoto ni kujua nini unachokitaka na je nitakipataje kwa kutafuta hayo maarifa google na YouTube....

Kila la kheri
Shukrani ndugu. Naiweza hata kujua namna ya kujitibu huko.
 
Unaweza ukawa sahihi kwa matukio kama hayo ila uchawi ni zaidi ya matukio kama hayo, kwa maana wapo watu wengi wanaoenda kwa waganga kwa shida zenye kuhusishwa na uchawi au wenye kufanya wenyewe mambo yenye athari zenye kuaminika ni uchawi.

Tatizo humu unajadiliwa uchawi kama ni matukio ya maajabu ndio kama hayo ya kuona sijui mchawi n.k ila kiuhalisia hiyo ni sehemu ndogo sana ya kinachohusishwa na uchawi.
 
Ahsante sana. Kwa sasa nataka kusoma teknolojia hii ya kishirikina niijue kwa undani .niwe jeshi kali.
Pengine sio lazima usomee uchawi, uchawi ni energy tu hivyo unaweza ukajifunza mambo ya energy kwa aina nyengine isiyo ya uchawi na ukaweza kujikinga na uchawi na mengine yasio ya uchawi ambayo huathiri watu pia.
 
Nenda madrasat, kule utafundishwa kila kitu kuanzia kufuga majini na kuaminishwa vitu visivyo na ukweli juu ya Muddy. Ukitoka hapo tu full mchawi wa vitabu.
 
Pengine sio lazima usomee uchawi, uchawi ni energy tu hivyo unaweza ukajifunza mambo ya energy kwa aina nyengine isiyo ya uchawi na ukaweza kujikinga na uchawi na mengine yasio ya uchawi ambayo huathiri watu pia.
Wazo la elimu ya energy ni jipya kwangu. Je topic hiyo inaitwa je? Kama Kuna somo nipe jina lake!
 
Nenda madrasat, kule utafundishwa kila kitu kuanzia kufuga majini na kuaminishwa vitu visivyo na ukweli juu ya Muddy. Ukitoka hapo tu full mchawi wa vitabu.
Duh kumbe? Sasa Bei zao ipoje?
 
Mfano mtu kasoma halafu mtaani watu wenye husuda wana mfunga asifanikiwe.Msomi hajui chochote masikini .Anaanza kuteseka .Nyota yake inatumiwa.


Hiyo elimu na cheti vitakuwa na faida gani?
nakubaliana na wewe nchi zilizoendelea elimu ya ulimwengu wa roho inafundishwa vyuoni ni elimu nzuri sana ukiijua hakuna kitakachokusumbua watu wote waliofanikiwa kwa kiwango cha juu wanaitumia elimu hii
 
nakubaliana na wewe nchi zilizoendelea elimu ya ulimwengu wa roho inafundishwa vyuoni ni elimu nzuri sana ukiijua hakuna kitakachokusumbua watu wote waliofanikiwa kwa kiwango cha juu wanaitumia elimu hii
Dah kumbe ndio maana wenzetu wako mbali aisee. Nasikia hadi mahospitalini wanatibu magonjwa aina yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…