Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Natamani hiyo siku ifike haraka tucheze tumalize, hata kama tutatoka tutoke tu, nimechoka na hii mijadala! Yaani hii wiki moja ya kusubiri marudiano imegeuka na kuwa kama mwaka, dah!
Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.
Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.