Natamani siku ifike haraka hata kama ni kutoka tutoke tu, nimechoka!

Natamani siku ifike haraka hata kama ni kutoka tutoke tu, nimechoka!

Aliyekuambia hata ukifungwa unatoka ni nani? Bado kuna play off nyingine ya Kombe la shirikisho.

Na wakati huo huo wale vinyonga, wakivuka hatua hii, ndiyo mwisho wao unakuwa umewadia. Uwezo wa kusonga zaidi ya hapo hawatakuwa nao.
Yenu ni hayo tu.
 
Kesho s
Natamani hiyo siku ifike haraka tucheze tumalize, hata kama tutatoka tutoke tu, nimechoka na hii mijadala! Yaani hii wiki moja ya kusubiri marudiano imegeuka na kuwa kama mwaka, dah!

Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.
Kesho sio mbali, Mungu azisimamie timu zetu hasa Yanga
 
Aliyekuambia hata ukifungwa unatoka ni nani? Bado kuna play off nyingine ya Kombe la shirikisho.

Na wakati huo huo wale vinyonga, wakivuka hatua hii, ndiyo mwisho wao unakuwa umewadia. Uwezo wa kusonga zaidi ya hapo hawatakuwa nao.

Shirikisho kuna berkane ,pyramids ,mazembe,wote wanakusubiri utopolo wakunyoe
 
Mtoke m
Natamani hiyo siku ifike haraka tucheze tumalize, hata kama tutatoka tutoke tu, nimechoka na hii mijadala! Yaani hii wiki moja ya kusubiri marudiano imegeuka na kuwa kama mwaka, dah!

Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.
Kwende wapi ? Yaan mkitoa CAF CL mnai gia CaF CC kule mkutane na Berkane au Pyramid wawakunyugeee kwanza alafu sasa ndio mtoke
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom