Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Yenu ni hayo tu.Aliyekuambia hata ukifungwa unatoka ni nani? Bado kuna play off nyingine ya Kombe la shirikisho.
Na wakati huo huo wale vinyonga, wakivuka hatua hii, ndiyo mwisho wao unakuwa umewadia. Uwezo wa kusonga zaidi ya hapo hawatakuwa nao.