Natamani siku ifike haraka hata kama ni kutoka tutoke tu, nimechoka!

Aliyekuambia hata ukifungwa unatoka ni nani? Bado kuna play off nyingine ya Kombe la shirikisho.

Na wakati huo huo wale vinyonga, wakivuka hatua hii, ndiyo mwisho wao unakuwa umewadia. Uwezo wa kusonga zaidi ya hapo hawatakuwa nao.
Yenu ni hayo tu.
 
Simba inasonga makundi Yanga inasonga ugali. Hutaki?!
Wanajifariji wanasema simba haina mafanikio yoyote Caf champions league mpaka wachukue ubingwa wanasahau roma haikujengwa siku moja
 
Kesho s
Natamani hiyo siku ifike haraka tucheze tumalize, hata kama tutatoka tutoke tu, nimechoka na hii mijadala! Yaani hii wiki moja ya kusubiri marudiano imegeuka na kuwa kama mwaka, dah!

Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.
Kesho sio mbali, Mungu azisimamie timu zetu hasa Yanga
 
Aliyekuambia hata ukifungwa unatoka ni nani? Bado kuna play off nyingine ya Kombe la shirikisho.

Na wakati huo huo wale vinyonga, wakivuka hatua hii, ndiyo mwisho wao unakuwa umewadia. Uwezo wa kusonga zaidi ya hapo hawatakuwa nao.

Shirikisho kuna berkane ,pyramids ,mazembe,wote wanakusubiri utopolo wakunyoe
 
Mtoke m
Natamani hiyo siku ifike haraka tucheze tumalize, hata kama tutatoka tutoke tu, nimechoka na hii mijadala! Yaani hii wiki moja ya kusubiri marudiano imegeuka na kuwa kama mwaka, dah!

Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.
Kwende wapi ? Yaan mkitoa CAF CL mnai gia CaF CC kule mkutane na Berkane au Pyramid wawakunyugeee kwanza alafu sasa ndio mtoke
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…