GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna nchi moja nilikuwa Ninajidanganya nikidhania Wao ni bora kwa Kuwaona mara kwa mara kumbe ni Wachumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nguvu ujinga pamoja na uchawi piaTeknolojia imeshika hatamu.miguvu ni show off.akili mtu angu.ukiangalia ukraine + Israel.drone zna fanya kazi kuliko askari.labda uwakutanishe mabondia toka haya majeshi.
Wakati nchi fulani hivi yenyewe imewekeza na inaendelea tu kuwekeza katika kununua hivyo Vifaa ili izitishie nchi Jirani?Vita zimebadilika siku hizi,ni teknolojia tu,hata Vifaru havifai tena.