Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #161
Haha.. wadanganye vijana chipukiziMguu nje how ? Miguu yote ndani [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha.. wadanganye vijana chipukiziMguu nje how ? Miguu yote ndani [emoji3]
Hamna amenielewa mbona😂Wallah jibu kavu sana hili. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wahiwa only😃Wahiwa and available
Soon tutakupa card ya mualiko ndiyo utajua hatutanii mkuu😀Haha.. wadanganye vijana chipukizi
Hapana, ni utani tu Depal wala usikasirike! Haya maisha hutakiwi kukasirika ni utani tu!Nahisigi mliojiunga JF 2015 kurudi nyuma ni watu wazima wenye akili, kumbe ni hamna kitu?
🙏🙏Nashukuru sana
Mkuu wanaombaje sasa hebu tupe idea.Haiombwi hivyo mdogo wangu, vijana wa siku hizi sijui mnakwama wapi asee, ongea vizuri na wataalam wa hizo kazi wakufundishe namna ya kuomba
Umenikumbusha ile kauli ya fisi aliona mwezi chi ya maji akadhani mfupa akajitosa na hakutoka.Njia mbili zilimponza fisi.
[emoji851] watu wameanza kutumia Jf Toka wakiwa Darasa la sabaNahisigi mliojiunga JF 2015 kurudi nyuma ni watu wazima wenye akili, kumbe ni hamna kitu?
Aaah...nmepata faraja japo kukuona Tena active huku....nlidhan umetelekeza mtandao wetu pendwaThank you Offial, nipo mkuu ubusy tu kiasi
🥰
Nashukuru nipo, siwezi itelekeza Jf aisee nahisi ntaumwa😀Nampenda sanà financial services...sema huku ameadimika sanaa
Aaah...nmepata faraja japo kukuona Tena active huku....nlidhan umetelekeza mtandao wetu pendwa
[emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta mrembo hapo mtaani mpachike jina la utani depal or leejay umuweke na kitambi awe mama watoto wako.
Usiumize hisia na kichwa ...simple tu rafiki.
ThreesomeMie natamani Lamomy na shoga yake Unique Flower wawe mama watoto.
Kwarezma hii watu wanawaza nn cjuiYeah nadhani