cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umemjibu kikatili sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda huyo mwingine, me nishawahiwa my friend.. Asante[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu kikatili sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda huyo mwingine, me nishawahiwa my friend.. Asante[emoji120]
We jamaaRich auntie wacha nijiandae kulea
Aririririii Depal
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu kwan kuna harusi ngapiii? Maana unatuchanganyaa sasa.[emoji23][emoji23][emoji23] Mchukue da Mau mimi huniwezi Pasha
Sema kweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi napenda bad boyz kichwa changu hakitaki watu wastaarabu kabisaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu wee.Mi mbona ndio nilivyo mkuu, nilishasemaga siwezani na watu wastaarabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi napenda hekaheka sitaki penzi lipoe, muda wote ni kuchachuana humo ndani..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimecheka had machoziiiii.Shemeji mbona km umepata mshtuko!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi kwema?? Hi shem [emoji112]
Daah unanionea mkuu🤣We jamaa
Upewe tuzo ya kuchochea
Nakuonaga mchochezi kweli😂
Nahisigi mliojiunga JF 2015 kurudi nyuma ni watu wazima wenye akili, kumbe ni hamna kitu?Ka Depal kaache kwanza bado kanadanga!
Hamna kitu
Jamani wewe😃😃😂Umemjibu kikatili sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee nashukuru kwa kunitag mkuu, nampenda pia Official nyoxfinancial services unaitwa huku dada .
Thank you Offial, nipo mkuu ubusy tu kiasiNampenda sanà financial services...sema huku ameadimika sanaa
Nashukuru sanaUsijali Mhe. Mbunge, salamu zitafika
Huu upande wa nampenda pia ni hatari sana kwa afya ya ndugu yetuAisee nashukuru kwa kunitag mkuu, nampenda pia Official nyox
Hatari gani mkuu? Usimuogopeshe bure😀Huu upande wa nampenda pia ni hatari sana kwa afya ya ndugu yetu
Kwani wewe hujui huo upande wa nakupenda pia ni mguu nje mguu ndaniHatari gani mkuu? Usimuogopeshe bure[emoji3]
Mguu nje how ? Miguu yote ndani 😀Kwani wewe hujui huo upande wa nakupenda pia ni mguu nje mguu ndani
Wahiwa and availableLabda huyo mwingine, me nishawahiwa my friend.. Asante🙏
Wallah jibu kavu sana hili. [emoji23][emoji23][emoji23]Jamani wewe[emoji2][emoji2][emoji23]