Natamani siku moja depal au leejay 49 awe mama watoto

Natamani siku moja depal au leejay 49 awe mama watoto

Mi mbona ndio nilivyo mkuu, nilishasemaga siwezani na watu wastaarabu 😂😂😂
Mimi napenda hekaheka sitaki penzi lipoe, muda wote ni kuchachuana humo ndani..
Basi mkuu wewe utaishi maisha marefu, mm sipendi kwanza mwanamke anaongea sana, sipendi mtu ambae ukikaa muda wote hakuamini.
 
Huyo lazima akimbie, mwisho wa Siku Jimbo litaachwa wazi Kwa Wazee tu 😜
Babu, Lamomy mjuu wako kasema yeye hapendi mwanaume kama mimi Husband material na mwenye sifa ya big boy a.k.a pochi nene, yeye anataka Bad boy wale wahuniwahuni wanaompiga matukio. Kwahio Mimi nimeamua nitulie na Unique Flower .
 
Ngoja niende kwenye Uzi wake, nikamtupie mistari Mzee mwenzangu

Fanyeni mpango mniazime na Suti za kuvaa wakati namwalika Kwa mtoko pale Hyatt regency hotel [emoji847]
Mkifika hapo hotelini msalimieni jamaa yangu anaitwa sospeter khened ikiwezekana nifanyieni namna ya kupata namba zake nilipoteza simu na sina namna ya kupata likizo kumtokea huko, mwambieni mbunge anamsalimia ataelewa ni nani.
 
Back
Top Bottom