Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YoooooWacha weee!!
😂😂😂 Mchukue da Mau mimi huniwezi PashaMie natamani Lamomy na shoga yake Unique Flower wawe mama watoto.
Mchukue da Mau jirani huyo mtaendana sana 😂😂😂Hapana mimi nahitaj mtotoo Lamomy na shoga yake Unique Flower hawa Mimi ndio nimefika .
Babu mimi aninunulie plot Mbweni 😂😂😂Unavyoona huyo Unique Flower ataweza kukubali awe bi mdogo Kwa Lamomy ?
Kwa kuwa wote ni Wajukuu zangu, muhimu ulete mahari tu, japo Unique Flower alisema kabla hujamchumbia umnunulie IST ya kwendea Sokoni 😜
Kazi kwako Mkwe 🤗
Mkuu Lamomy Kwa nini nikushindwe wakati mimi nimiongoni mwa big boys. Au wewe hutaki ku hang out na big boy?.😂😂😂 Mchukue da Mau mimi huniwezi Pasha
Wee 😂😂😂😂Nimecheka sana mpwa, lakini kiukweli mie Lamomy na Unique Flower itabid basi unichugulie mmoja.
Au nikiona sielewi itabidi niende na wewe bibi yao.
Nshaomba Lamomy .Wee 😂😂😂😂
Huyo ni babu yetu, bibi yetu ni Fai
Omba msamaha kwa babu
Hapo ndio huwa nacheka wanawake nyinyi hamjawahi kujua mnataka nini.😅😅😅 Ukipata bad boy ukapigwa tukio mnatukumbuka sisi husband material.Mi napenda bad boyz kichwa changu hakitaki watu wastaarabu kabisaaaa 😂😂😂
Jirani huo mjibu mkavu 😂😂😂Labda huyo mwingine, me nishawahiwa my friend.. Asante🙏
Mi mbona ndio nilivyo mkuu, nilishasemaga siwezani na watu wastaarabu 😂😂😂Hapo ndio huwa nacheka wanawake nyinyi hamjawahi kujua mnataka nini.😅😅😅
VizuriNi majike na usiniulize nimejuaje
Shemeji mbona km umepata mshtuko!! 😂😂😂😂😂
I Miss u mwmwa makope kope yoteRich auntie wacha nijiandae kulea
Aririririii Depal
Utaniharibia mume usingekujaShemeji mbona km umepata mshtuko!! 😂😂😂😂😂
Vipi kwema?? Hi shem 👋
Jamani wewe😃🥹Jirani huo mjibu mkavu 😂😂😂
Valentine ulikuwa wapi??Haya mama , neno lako kwangu nisheria , nipo tayari kuzunguka na ww ndani ya hii nchi mpaka nchi zawatu, jambo lamsingi ni wewe kufurahi tu nakuona wacheka ukitabasamu lile tabasamu lako tamuu, pia napenda mideko yako, maana ukideka na kununa ndio nafurahi zaidi, maana napata wasaa mzuri wakukumbeleleza na kukulea kama mtoto mchanga. Karibu sana ndani ya moyo wangu mtoto mzuri Unique Flower 🌹. Nakupenda kipenzi nakupenda sana.