Natamani weekend hii ningetoka na AshaDi, afrodensi, Husninyo au Faiza Foxy!!

Natamani weekend hii ningetoka na AshaDi, afrodensi, Husninyo au Faiza Foxy!!

Mimi na Husninyo,Fborn na Afrodenci,Mr Rock na Faiza Foxy,ingependeza sana!
 
wewe huyo anakaba mpaka 'penati', nakuonea huruma coz ur wish iz yeyukaring.....lol!

anakaba mpaka penat? Kivip? Nieleweshe basi rafiki. Isije ukawa unamwonea wivu.
 
anakaba mpaka penat? Kivip? Nieleweshe basi rafiki. Isije ukawa unamwonea wivu.

Akhaaa! Sina wivu mie! We subiri tu aje utajionea mwenyewe, hatakagi kumwacha hata sekunde! Labda kwako itatokea....lol! Ha ha ha haaa
 
Akhaaa! Sina wivu mie! We subiri tu aje utajionea mwenyewe, hatakagi kumwacha hata sekunde! Labda kwako itatokea....lol! Ha ha ha haaa

usijali ametokea kuniamini bila sababu, nafikiri tutafika.
 
Usjali..
Guest NO.1 = ADI
Au njoo mapema unisaidie na msosi lol

Haina shida mamito... nitakuja kwako tujipange...

yaani unafurahia wakt timetable yenyewe inaonyesha wazi tutakuwa kama wawili, sijamwona FF, Nahisi yuko bize na jyf, sijamsikia bibie husn afu afro ndo hivyo tena anataka akwepe, nwy usijal.

Tatizo FB hujitambui kabisa... yaani umeshindwa changua mmoja?? lol

First Born yaani kuanzia kwa Ashadii, Husninyo na Afrodenzi ukiwahitaji you have to seek permission from me otherwise you are doomed.l

PA... bora... maana naona First B hajatambua hilo....lol

Gurta na Asha D!hapo sawa sawial

aaaisee....
 
Back
Top Bottom