-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Acha uzuzu ww, hiyo zenji ni sehemu ya Tanzania au huelewi neno Tanzania?..Tanzania ni inchi yeye dini nyingi.Zile ni tamaduni zao hakuna sehemu mtu analazimishwa kufunga wala kufuata dini fulani,halafu hakuna mbwembwe ni nyie ndio mnaukuza ..Mbona waislamu hawajui kama nyie mnafunga?
Ni vizuri ukatulia kwenu !