Natamani zali la kupigwa kula mchana Zanzibar linipate, patachimbika

Natamani zali la kupigwa kula mchana Zanzibar linipate, patachimbika

Jamaa huwa wapo serious sana aise. Nimewahishuhudia miaka flan shuleni nilipokuwa nasoma. Wanakuua hivihivi kwa kisingizio cha kutetea dini.
 
Be careful na sheria za nchi za watu mdau. Hatutaki kukupoteza. Hasira za muungano zinaweza kukugeukia.
Sheria ipi? Naomba tuwekee kifungu unachokifanyia reference. Otherwise ni imani tu inawafanya wawe vile.
 
Simple utetezi tu Nilikuwa napambana nilipovamiwa na watu wasiojulikana baada ya kunivamia from nowhere“ then waendesha mashtaka watafafanua ni sheria ipi Tanzania hii inaruhusu kikundi cha watu kumkamata mtu mzima na ndevu zake wasiyemjua akitumia hela zake halali kula anachokitaka tena hadharani jua la utosi bila kulazimisha kumlisha mtu na kuanza kumtandika viboko kama mtoto mdogo!!!
Hizo zinaitwa Bylaws sio lazima hadi uzione kwenye katiba.
Kwamba wananchi wote wa Zanzibar wamekubaliana asile mtu mchana hadharani atakayekiuka atapewa adhabu fulani,sasa ukikiuka na kupewa hiyo adhabu hauna cha kuwafanya.
Ni sawasawa mtaani/kijijini kwenu wananchi wote wakikubaliana kulinda kama sungusungu kwa zamu wewe ukipinga utaadhibiwa au utapewa faini na hauna pa kuwashtaki
 
Hizi ni sifa za kijinga! Mbona iko very simple, wewe jifanye hamnazo tu ukapige msosi pale Mwanakwerekwe au Stone Town utakuja utusimulie!

Mkuu acha hio mitaa ya kisharo. Kuna mitaa inaitwa Baghdad, Basra, Madina sasa atoke huo upuuzi wake akafanye kwenye hiyo mitaa ya Ansar Sunna, kwa hakika hiyo siku hatoisahau.
 
Mkuu acha hio mitaa ya kisharo. Kuna mitaa inaitwa Baghdad, Basra, Madina sasa atoke huo upuuzi wake akafanye kwenye hiyo mitaa ya Ansar Sunna, kwa hakika hiyo siku hatoisahau.
Mchoree ramani mkuu ajipitishe hapo na msosi wake hiyo kesho akione cha mtema kuni!
 
Back
Top Bottom