Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha ajabu ukichaa huu umeshika watu wengi dunianiUnakita jitu zima limeamua kushinda njaa kwa hiari yake mwenyewe then likiona unakula lina mind. Kweli dini ni ukichaa
Very simple. Funga safari nenda zenj. Pita mtaani ukila kachori. Utakiona na mtema kuniYani natamani na nina hamu sana zali la kupigwa kwa kula hadharani mchana badala ya usiku mwezi huu linipate huko Zenji.
Patachimbika maamae huo mkono ntakavyoutembeza. Yani ngumi za uhakika.
Chaliifrancisco gTurn hydroxo Malaria 2 Adiosamigo Mpaji Mungu PSL god mshamba_hachekwi min -me Jagina Ritz gallow bird ielewemitaa inamankusweke
Nyau de adriz
Sheria ipi? Naomba tuwekee kifungu unachokifanyia reference. Otherwise ni imani tu inawafanya wawe vile.Be careful na sheria za nchi za watu mdau. Hatutaki kukupoteza. Hasira za muungano zinaweza kukugeukia.
Ujinga wao, hawasubiri upite mtaani, wao hata ukiwa ndani, kitendo cha kukuona tu wanaanza vuruguVery simple. Funga safari nenda zenj. Pita mtaani ukila kachori. Utakiona na mtema kuni
Upo kijijini Msobende unaweka mikwala ya kibabe, vuka maji wale wahuni sio kama watakupiga tu mpaka Yas(tigo) wataila hio
Hizo zinaitwa Bylaws sio lazima hadi uzione kwenye katiba.Simple utetezi tu “Nilikuwa napambana nilipovamiwa na watu wasiojulikana baada ya kunivamia from nowhere“ then waendesha mashtaka watafafanua ni sheria ipi Tanzania hii inaruhusu kikundi cha watu kumkamata mtu mzima na ndevu zake wasiyemjua akitumia hela zake halali kula anachokitaka tena hadharani jua la utosi bila kulazimisha kumlisha mtu na kuanza kumtandika viboko kama mtoto mdogo!!!
Kijana hajui kua walimu wengi wa michezo hiyo ni waisilamuWe nenda na jiko la gesi ukapike pale msikitini nje Leo mchana. Hapo ndio Utajua hujui huo mkono unaosema
Hizi ni sifa za kijinga! Mbona iko very simple, wewe jifanye hamnazo tu ukapige msosi pale Mwanakwerekwe au Stone Town utakuja utusimulie!
Unaongea Ukiwa Uvungu Gani?Yani natamani na nina hamu sana zali la kupigwa kwa kula hadharani mchana badala ya usiku mwezi huu linipate huko Zenji.
Patachimbika maamae huo mkono ntakavyoutembeza. Yani ngumi za uhakika.
Chaliifrancisco gTurn hydroxo Malaria 2 Adiosamigo Mpaji Mungu PSL god mshamba_hachekwi min -me Jagina Ritz gallow bird ielewemitaa inamankusweke
Nyau de adriz
Mzee wavaa Kobazi watakutwanga usiwajaribuYani natamani na nina hamu sana zali la kupigwa kwa kula hadharani mchana badala ya usiku mwezi huu linipate huko Zenji.
Patachimbika maamae huo mkono ntakavyoutembeza. Yani ngumi za uhakika.
Chaliifrancisco gTurn hydroxo Malaria 2 Adiosamigo Mpaji Mungu PSL god mshamba_hachekwi min -me Jagina Ritz gallow bird ielewemitaa inamankusweke
Nyau de adriz
Mchoree ramani mkuu ajipitishe hapo na msosi wake hiyo kesho akione cha mtema kuni!Mkuu acha hio mitaa ya kisharo. Kuna mitaa inaitwa Baghdad, Basra, Madina sasa atoke huo upuuzi wake akafanye kwenye hiyo mitaa ya Ansar Sunna, kwa hakika hiyo siku hatoisahau.