Natamani zali la kupigwa kula mchana Zanzibar linipate, patachimbika

Zile ni tamaduni zao hakuna sehemu mtu analazimishwa kufunga wala kufuata dini fulani,halafu hakuna mbwembwe ni nyie ndio mnaukuza ..Mbona waislamu hawajui kama nyie mnafunga?

Ni vizuri ukatulia kwenu !​
Acha uzuzu ww, hiyo zenji ni sehemu ya Tanzania au huelewi neno Tanzania?..Tanzania ni inchi yeye dini nyingi.
 
Acha uzuzu ww, hiyo zenji ni sehemu ya Tanzania au huelewi neno Tanzania?..Tanzania ni inchi yeye dini nyingi.
Mbona unalazimisha kwani ni kwenu🤣🤣we kichaa kweli nenda kafanye unavyotaka sasa!

Unambwela hapo.
 
Nime cheka Sana aisee😂😂😂
 
Mkuu wazee ndio wanatabia hiyo ya kuchapa watu, vijana wa Zenji ni mchelemchele sana. Ukiwatisha tu hawasogei.
Hata wazee ukiwakazia watakuita hanisi tu lakini hawatathubutu kukugusa.

Mfungo wao huwa siuelewi, kwamba mtu akifunga na mimi nikala karibu yake eti anatamani kula. Binafsi naona ni vizuri kuishinda tamaa wakati wa mfungo.
 
zali hilo litakupata vp wakati uko zako kinondoni shamba huko unakoandika mipasho yako hii..ww panda boti nenda huko ukale hio mchana kama unavyojitapa nyuma ya keybord na sio unajishaua mambo ya zanzibar wakati umejificha Dar.!
 
Hizi ni sifa za kijinga! Mbona iko very simple, wewe jifanye hamnazo tu ukapige msosi pale Mwanakwerekwe au Stone Town utakuja utusimulie!
 
Kwanza unapigwa suratul butwaa....
unakuwa umebung'aa tu hujielewi halafu bakora zinafata....
 
Upo kijijini Msobende unaweka mikwala ya kibabe, vuka maji wale wahuni sio kama watakupiga tu mpaka Yas(tigo) wataila hio🤣🤣
 
Nakuunga mkono kabisa, wapuuzi wale wanashambulia vijana wasiojitambua akili tu. Mtu kama maisha yamekushinda si lazima upite mitaani kwa wivu wako kutafuta watu wanaokula mchana, hakuna mtu anayektazwa kula.
 
Upo kijijini Msobende unaweka mikwala ya kibabe, vuka maji wale wahuni sio kama watakupiga tu mpaka Yas(tigo) wataila hio🤣🤣
Kumbe ni wahuni wanaosaka watu, basi inabidi washikishwe adabu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…