Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Nakuunga mkono hoja
 

Kuiunga mkono chadema nikuiunga mkono ccm bila ku jua

Tanzania hatuna chama Cha upinzani bado Ila tuna ccm A yenye sura ya chama tawala na ccm B yenye sura ya upinzani

Bado tunasafari ndefu mkuu
 
Kuiunga mkono chadema nikuiunga mkono ccm bila ku jua

Tanzania hatuna chama Cha upinzani bado Ila tuna ccm A yenye sura ya chama tawala na ccm B yenye sura ya upinzani

Bado tunasafari ndefu mkuu
unamaanisha hivi ?

 
Hongera sana, umejitahidi kuishi kiapo chako
 
acha uongo, ungekuwa na mali hizo usingeshinda jf kuwasifia mafisadi wa chadema
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1703050377268.jpg
    50.4 KB · Views: 4
Kwan ulikuwa hauiungi mkono CDM? Leo ndio umevutiwa na Sera za CDM? Ulikuwa haujavutiwa? Kila siku unatuma SMS za CDM. Leo unasema umeamua kuunga mkono. Mbona haueleweki? Au ndio kuchanganyikiwa? Halafu unasema ww ni tajiri. Utajiri wako ni kama wa Dangote au nikutafuta Kiki tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…