Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #161
Majuto ni mjukuu .Utajuta siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majuto ni mjukuu .Utajuta siku moja
Siyo Msoga tena ?Karibu sana sisi tulikuja na Lowassa lakini ofisi zetu zipo Masaki kwa sasa siyo Ufipa.
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Naunga hojaMimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Hongera sana !Mkuu karibu sana. ....sioni bila chadema ntaenda wapi? Ccm hapana labda ashuke Yesu Kristu ndo awe mwenyekiti wake..... akiwa mwanachama tu bado sintawaamini.....
Pamoja na nunua nunua msimamo huu hautabadilika kamwe .
Too late .View attachment 652313 Kamanda uko sure?
Kama uliahidi kutoka ikiwa Mamvi angeingia na hukutoka, Kwanini unafikiri tukuamini sasa? Precedent uliyojiwekea inakuhukumuToo late .
Unajua kwanini mpaka leo Lowassa hajashitakiwa ?Kama uliahidi kutoka ikiwa Mamvi angeingia na hukutoka, Kwanini unafikiri tukuamini sasa? Precedent uliyojiwekea inakuhukumu
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Ni kweli , lakini akiba si lazimaKuna faida ya kuweka akiba ya maneno.
Hiyo inaitwa kupiga misele .Mm nilijiunga ccm then nikaenda Chadema tena baada ya mwaka mmoja nikarudi ccm. Kipindi cha uchaguz mafuriko ya Lowassa yalinirudisha Chadema, sasa hivi Nina mpango wa kujiunga Ccm kumuunga mkono Mheshimiwa rais Ila najua kabisa ipo siku nitarudi tena Chadema.
Hongera kwa kusimamia Itikadi yakoMimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .