hakikwepeki coz the only mtu aliyeleta pingamizi ameshatukana wakunga tayari hadi mida hii, haihitaji kuwa na tochi kujua kuwa speaker keshafika mwisho wa reli
Kitchen party ya bi harusi kwangu.
hakikwepeki coz the only mtu aliyeleta pingamizi ameshatukana wakunga tayari hadi mida hii, haihitaji kuwa na tochi kujua kuwa speaker keshafika mwisho wa reli
Afro Denzi unaolewa?
Afro Denzi unaolewa?
Hapo kajikoki mwenyewe pole Speaker. πeep:
hahahah, kuilichobaki sasa hivi naona unajifariji tu, ushapiga mbizi kwenye lami kijanaAya,..
yeye mwenyewe keshanipa adhabu na tume maliza tofauti zetu,..
unajua adhabu yenyewe?
Dar kuna baridi saivi jamani duh,ila afro................
Kila la heri mama, hivi ndoa inafungwa kwenye mkesha wa Pasaka au? teh teh teh
Ngoja niaangalie hii kesi imekaaje ili nijuwe wapi pa kukusaidia:A S 465:Kesha olewa,ila kuna mtu anataka kuni nyang'anya
naomba msaada wa kisheria
Kuna huyo hapa Speaker naye anataka kupigia mstari
Zanta chagua ruler na penseli hapo pigia mstari hayo maneno yako
Lily hakuna ndoa,ila tutakua mahakamani juma jano ya week ijayo
mpaka binti atoe tamko kwanza unakimbilia mahakamani kufanya nini? hujui kuwa mimi ndio nimeteua mahakimu?Lily hakuna ndoa,ila tutakua mahakamani juma jano ya week ijayo
kaombe msamaha kwanza na kukanusha kule kwenye ile post yako
offcourse you hv to feel sick, umelikoroga mwenyewe bro, na huwezi kuunywa huu mwarobaini, kilichobaki ni kutoa tu baraka zako watu tujichukulie kimwana bila pingamizi lolote, hivi wewe hutaki kuona wenzako wakipata raha?Ni utundu tu ule,unaweza ku prove kua 1=2 vile vile!
Duh,ngoja nika pumzike i feel sick sanaaaaaaaaaaaa
hahahahahahaah lol
hivi hii thread imefika
page ya 10 daahhhh
Ivunga na Speaker mmhh
mataacha lini ???
mie sina hamu mnavyonichekesha hatari mmhh
hadi speaker afute kauli yake kuwa kakuoa last year
, hata hajui kudanganya[/SIZE][/FONT])ππ