Natangaza ndoa

Hahahahahahahah
Jamani jamani Ivunga na Speaker
acheni kunichekesha jamani khaaaa
Haki ya walakhi mimi nikifukuzwa kazi
mmoja wenu itabidi anioe kweli mmhhh
endeleeni tu kunichekesha hahahahahahahah mmmhh
 
Yeah,toka mwaka jana!...umechelewa sana

acha kuleta dream zako hapa, tangu lini mtu anaweza ku-konverte ndoto kwenda kwenye ukweli? si wote tungekuwa tuna drive ma infinity na makadilak n ma jaguar?
 
Yeah,toka mwaka jana!...umechelewa sana
ha-ha- ha umejibiwa hapa chini so pingamizi lako halina mashiko , hadi ss ivi ushajitoa kwenye reli we endelea kula country music zako tu hapo
Hahahahahahahah
Jamani jamani Ivunga na Speaker
acheni kunichekesha jamani khaaaa
Haki ya walakhi mimi nikifukuzwa kazi
mmoja wenu itabidi anioe kweli mmhhh
endeleeni tu kunichekesha hahahahahahahah mmmhh
ufukuze usifukuzwe nshakuchukua
 
acha kuleta dream zako hapa, tangu lini mtu anaweza ku-konverte ndoto kwenda kwenye ukweli? si wote tungekuwa tuna drive ma infinity na makadilak n ma jaguar?

Dream,..
mchana saivi mkuu!
Sikutanii ndo ukweli wenyewe huo!
Afu kwangu mimi kila ninacho ota hutokea ndo maana naota mara chache sana!
Siwezi kuota kua nimelala wakati nimelala kweli,naota kwenda mbele na nikiamka nasonga kweli
 
Dream,..
mchana saivi mkuu!
Sikutanii ndo ukweli wenyewe huo!
Afu kwangu mimi kila ninacho ota hutokea ndo maana naota mara chache sana!
Siwezi kuota kua nimelala wakati nimelala kweli,naota kwenda mbele na nikiamka nasonga kweli
hahaha ,ota umekufa basi au ota uko bachela
 
ha-ha- ha umejibiwa hapa chini so pingamizi lako halina mashiko , hadi ss ivi ushajitoa kwenye reli we endelea kula country music zako tu hapo

ufukuze usifukuzwe nshakuchukua

Typing error please
 
hahahahahahahahahhaa
mbavu zangu jamani daahh
Embu acheni hivyo...
kha mnamaneno nyie mmmhhh
 
harooo pingamizi sina ,ila usiende kumtenda mtoto wa watu
FL1 hapa sijakupata vizuri, mimi huwa sina hulka ya kumpiga mwanamke kama ulikuwa unamaanisha hivyo, kwanza akija kukuhadithia jinsi nitakavyomtunza hata wewe mwenyewe utamtamani. au unaniruhusu niorodheshe baadhi?
Huyo mvamizi tu wa ndoa za watu
phahaha, mkuu pingamizi lako tushajua halina mashiko, ni la kutunga pphahaha!!
Nikiota kufa anakua kafa mtu kweli,niruhusu nikuote hivo leo haha
sio fresh utani kama huu
hahahahahahahahahhaa
mbavu zangu jamani daahh
Embu acheni hivyo...
kha mnamaneno nyie mmmhhh

yaani ungejua jins unavyocheka na kutabasamu ndio mtima wangu unazidi kupata joto
 
Hii ni typing error sio?

hahahahah!! mkuu umeshapiga mbizi kwenye lami(mirage) bwah ah ha ha ha!!!! tumeshakushtukia
soon kadi za arusi zitaanza kutoka, nangojea tu usaini kuwa ulikuwa unatania
 
hahahahah!! mkuu umeshapiga mbizi kwenye lami(mirage) bwah ah ha ha ha!!!! tumeshakushtukia
soon kadi za arusi zitaanza kutoka, nangojea tu usaini kuwa ulikuwa unatania

Nimeongea nae mda wa lunch aisee,kumbe uko serious una msumbua mke wa mtu?
inabidi niku fungulie mashtaka ya kutaka kunyang'anya mke
maana nyie watu hamtanii kumbe kwenye hii sekta
 
hahahahahahahahahhaa
mbavu zangu jamani daahh
Embu acheni hivyo...
kha mnamaneno nyie mmmhhh

Unafanya nishindwe kufanya kazi!
Unavo cheka una nikumbusha mbali sana
natamani nije home sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…