Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hama kabisa tanzania maana kitakachoendelea kwa simba kitakupa presha sanaKuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa (atakapofurumushwa).
Sasa unamkataaje mgeni jamani. Nyuzi za.kuwasifia mnazipenda ila yy mwenyewe hamumataki?Yanga hatutaki mashabiki vivuruge kama mtoa mada. Mbaki naye huko huko.
Labda haende costal maana wana share naye kochaSasa unamkataaje mgeni jamani. Nyuzi za.kuwasifia mnazipenda ila yy mwenyewe hamumataki?
Unatafuta tukurogeKuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa (atakapofurumushwa).
Kkkk CHARISMATIC FELLA kahamia timu ya Manara.Na mimi ninatangaza rasmi kutokukukubali tena kama Purely talented, well blessed and cherismatic Fella hadi hapo utakapoanza kuishabikia tena simba.
Dawa ya moto ni moto.
SOKA LA BONGO GUMU SANA.Tuambie kosa la Matola ni nini?
Hahahaaa, wewe una utani na mzee wa kuandika thread zilizotukuka kabisa.Yaani kuanzia sasa utamtambua rasmi kama Popoma mbobevu. Au!!!!
Huyu jamaa ni Purely Talented and Charismatic Fella, sio rahisi kumshambulia ukawin, nilikuwa najaribu tu.Safi sana,Furaha yangu kuona huyu chi.zi anashambuliwa🤣🤣🤣🤣
Huyu mutu anaipenda Simba kupitiliza... Very sad!Kkkk CHARISMATIC FELLA kahamia timu ya Manara.
Toa sababu vinginevyo hii itakuwa ni chuki binafsi na majunguKuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa (atakapofurumushwa).
Unajitekenya na kucheka mwenyewe na utitiri wa ID zako.Sawa nimekuelewaHuyu jamaa ni Purely Talented and Charismatic Fella, sio rahisi kumshambulia ukawin, nilikuwa najaribu tu.
Kwamba mimi ndio MINOCYCLINE aka Purely Talented, blessed intellectually, well informed person?!, Yaani mutu ya kuandika thread zilizotukuka kabisa!Unajitekenya na kucheka mwenyewe na utitiri wa ID zako.Sawa nimekuelewa
Ipo siku niltaleta IDs zako zote humu na ushahidi.Naamini utaanza upya.Kwamba mimi ndio MINOCYCLINE aka Purely Talented, blessed intellectually, well informed person?!, Yaani mutu ya kuandika thread zilizotukuka kabisa!
Unajaribu kunipa hadhi ambayo sijaifikia, na unamkosea kabisa huyu mheshimiwa.
Naona unanigeuzia kibao, huwa ninakususpect pia!Ipo siku niltaleta IDs zako zote humu na ushahidi.Naamini utaanza upya.