Hongera sana kwa maamuzi ya kuoa umewashinda kundi la Vijana wanaoendesha vibe la kataa ndoa eti ndoa ni utapeli ,ushauri wangu kwako unatokana na maana ya neno lenyewe ndoa;Habari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa.
Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
NAKAZIAKataa Ndoa
NAKAZIAkataa ndoa
Ujue tu ndoa ni kama kiumbe kisichoonekana. Kinatunzwa.Habari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa.
Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Mbona una substite o na 0? SSimama kama mwanaume ndani ya nyumba yak0...Usichekelee jamb0 la kipuuzi hata likiwa d0g0 mana Ukilichelea litakuwa kuja kuwa kubwa....Acha gubu la chakula...Balance upend0 hakikisha usizidi na usipungue sana....Usiweke simu paswed iache huru...Ukiwa na mchepuk0 sajili lain ya ingine na hakikisha mchepuk0 hapajui kwak0....Usimpige mke0 us0ni....Ukimfumania Mke0 muache taraka 5 usimpe nafasi ingine msaliti......
Tambua ya kwamba mwanamke ni binadamu ana matamanio ya kimwili so kigegedwa na wanaume wengi ni jambo la kawaida. Usije ukavunja ndoa eti kisa mke katombwer huko njeHabari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa.
Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.