Misingi ya ndoa yenu inaanza mapema kabisa,
0. Suala la uchumi lina nafasi kubwa sana katika kuleta stability ya ndoa yenu, tafuta hela kwa nguvu zote, ila kwa halali.
1. Kama kitu hukipendi basi mkeo ajue tangu mwanzoni kua hukipendi, sio mwanzo unamuachia kisha baadae unasema hukitaki, kama mmekubakiana mshirikiahane simu basi iwe hivyo.
2. Usijihusishe na zinaa ni mbaya na inaharibu familia
3. Kuoa isiwe kigezo cha kuwafungia vioo marafiki na ndugu lakini pia usiwape mda mwngi kuliko mkeo, ubalance
4. Mkeo ni mtoto wako wa kwanza wa kike, umchunge, wahuni wengi
5. Mpende mkeo, wazuri hawaishi huko mtaaani,
Nitaongeza baadae