mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
1. Hakikisha anafuata maelekezo unayompa.
2. Akutii kwa sababu wewe ni baba yake mpya.
3. Expect Less.
4. Timiza wajibu wako kama mwanaume.
5. Peleka moto vizuri (wahuni wapo kila mtaa, ni kama mawakala wa Tigo Pesa so ukilegea imekula kwako).
6. Usimchekee ovyo. Ajue kuwa kuna makosa akifanya baba Jane bye bye.
7. Ajue kuwa wewe ndiye uliyeishikilia hiyo ndoa na sio watu wa dini, wazee na watu wengine. She must know that your decision is the last.
8. Usimpe kila kitu anachotaka.
9. Mheshimu.
10. Tumia akili. Women are masters of illusion & manipulation so be care when you are going to deal with any case they present to you.
Mengine wataongezea walume ndago wengine.
2. Akutii kwa sababu wewe ni baba yake mpya.
3. Expect Less.
4. Timiza wajibu wako kama mwanaume.
5. Peleka moto vizuri (wahuni wapo kila mtaa, ni kama mawakala wa Tigo Pesa so ukilegea imekula kwako).
6. Usimchekee ovyo. Ajue kuwa kuna makosa akifanya baba Jane bye bye.
7. Ajue kuwa wewe ndiye uliyeishikilia hiyo ndoa na sio watu wa dini, wazee na watu wengine. She must know that your decision is the last.
8. Usimpe kila kitu anachotaka.
9. Mheshimu.
10. Tumia akili. Women are masters of illusion & manipulation so be care when you are going to deal with any case they present to you.
Mengine wataongezea walume ndago wengine.