Natarajia kufunga ndoa, nipe maneno ya hekima yatakayonisaidia

Natarajia kufunga ndoa, nipe maneno ya hekima yatakayonisaidia

Habari wakuu,

Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.

Natanguliza shukran zangu za dhati.

1. Inabidi ufahamu jambo moja, mwanamke kuacha kutongozwa, ni pale anapofariki.

Ukisema udeal na wanaume wote wanaomtongoza, utakosa furaha maisha yako yote ya huo uhusiano wenu.

2. Ishi kwenye kipato chako
 
Maamuzi yako yawe ya kheri au shari hakikisha una Amua kwa matumizi sahihi ya akili yako dhidi ya Hisia,,Kwenye hii dunia kaa ukijua kamwe huwezi mridhisha binadamu wa Aina yoyote kwa namna yoyote ile,, na pia kamwe kwenye hii dunia usimuamini binadamu wa aina yoyote yule kwa namna yoyote ile,,, Narudia tena ndugu bwana Harusi mtarajiwa"""KAMWEE"",,Mungu akawajalie na awatangulie katika hilo jambo lenu mpate kulifanikisha ikawe kheri kwenu na kwa kizazi chenu na aendelee kuwajalia afya ya mifupa,,damu na nyama kwenye uzazi wenu pia!!!
 
Andaa chumba maalumu cha kuhifadhia madhaifu ya kwenza wako humo yatakaa mpaka ufe.

Kama hauna chumba hicho usioe/usiolewe.
 
Habari wakuu,

Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.

Natanguliza shukran zangu za dhati.

Hata ndoa haijafungwa umeanza kuja mitandaoni ku google, aloo
 
sasa naharibu nini wakati ndio hali halisi ya sasa kwenye ndoa nyingi.
wewe tatizo lako unataka kudanganyana kuwa ni wakamilifu wakati ukishakubali madhaifu yetu tunakuwa huru.
mie siewezi kuoa mwanamke breki pumbuz alafu nitegemee kuwa hatagegedwa na wanaume wengine eti tuu kisa tuna cheti cha ndoa. thats just inane.
Sasa wewe unachofanya ni kuhalaliaha hilo suala, yani ni jambo ambalo halikubaliki kwa namna yoyote. Mzabzab ungekua umeoa usingesema hayo maneno
 
Habari wakuu,

Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.

Natanguliza shukran zangu za dhati.

Kumbuka tu mke hawezi kula ndizi moja tu hadi anakufa kuna siku atatamani ndizi nyingine matoke au mshale ukigundua kala ndizi zingine mkanye iwe siri yako tena siri ya ndani

Kumbuka na wewe funguo yako hawezi fungua kitasa kimoja kuna siku utafungua vitasa vingine vya chuo vya ofisini vya mtaaani nae akijua msameane


Kumbuka msamehe akila ndizi zingine mara tatu akizid hapo huyo hafai kabisa wala hajifunzi ni mlooho wa ndizi maana atakula hadi ndizi za majirani utatia aibu mara atakula ndizi za ofisi za maboss hapo mtimue tu huna jinsi..... tena mara ale ndizi matoke na wewe una tule tu ndizi mbivu tu dogo hivi ataanza kudharau shamba lako la hiyo ndizi

Na wewe mr funguo usifungue vitasa hadi mke ajue kuwa unafungua vitasa ...usije fungua kitasa cha chumba cha mfanyakazi wa ndani beki tatu wenu marufuku


Ila kumbuka mkeo hawezi kula ndizi moja hadi anakufa ...iwe siri ukijua ...na ww huwez mr funguo huwez kufungua kitasa kimoja hadi unakufa hayo huwa siri

Ndoa ni undugu uvumilivu na heshima tu ila mambo ni mengi
 
1. Hakikisha anafuata maelekezo unayompa.
2. Akutii kwa sababu wewe ni baba yake mpya.
3. Expect Less.
4. Timiza wajibu wako kama mwanaume.
5. Peleka moto vizuri (wahuni wapo kila mtaa, ni kama mawakala wa Tigo Pesa so ukilegea imekula kwako).

6. Usimchekee ovyo. Ajue kuwa kuna makosa akifanya baba Jane bye bye.

7. Ajue kuwa wewe ndiye uliyeishikilia hiyo ndoa na sio watu wa dini, wazee na watu wengine. She must know that your decision is the last.

8. Usimpe kila kitu anachotaka.

9. Mheshimu.

10. Tumia akili. Women are masters of illusion & manipulation so be care when you are going to deal with any case they present to you.


Mengine wataongezea walume ndago wengine.
Point namba Saba nzurii Sana.....
 
Ndoa ni kuoana watu wawili wenye haki sawa ndani ya ndoa

Ulichoandika ni mfumo.dume tu.kuanzia pointi ya kwanza hadi ya mwisho!!

Hiyo sio ndoa ni gereza ambalo.mwanamke anskuwa mfungwa na wewe mwanaume muoaji unakuwa Askari jela!!

Hizo pinti zako sio za kutumika kwa watu waliooana

Za waliooana zinasomeka mfano sio umuheshimu bali muheshimiane

Kila pointi inatakiwa I apply pande zote mbili kwa mpigo.Pointi zako zonalenga upande mmoja tu
Kwani maelekezo yake ni pointi ipi imeonesha mwanamke kaonewa?? Kapigwa? Au kafanyiwa uonevu? Au kifupi zaidi kipi kilichoongelewa na huyo bwana kimeonekana si haki?
 
Wahenga walisema ndoa ndoano, don't except much kwenye ndoa, mm nipo kwenye negative side ya ndoa naona wahenga hawakukosea walivyosema ndoa ndoano.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwani maelekezo yake ni pointi ipi imeonesha mwanamke kaonewa?? Kapigwa? Au kafanyiwa uonevu? Au kifupi zaidi kipi kilichoongelewa na huyo bwana kimeonekana si haki?
Haki ni two way traffic sio one way traffic

Ohh mwanamke amsikilize mume what about mume kumsikiliza mwanamke?

Hoja aliziandika sio two way traffic zimejikita zaidi kwa haki za mume sio wote
 
Sasa wewe unachofanya ni kuhalaliaha hilo suala, yani ni jambo ambalo halikubaliki kwa namna yoyote. Mzabzab ungekua umeoa usingesema hayo maneno
Ah kwa hiyo unakubali kuwa ni kweli kuwa wake wengi watagegedwa tuu nje ya ndoa.
Sasa naoa kivipi wakati sifa kuu ya kuwa kwenye ndoa sina jameni😲😲😲
 
Habari wakuu,

Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.

Natanguliza shukran zangu za dhati.

Stay single as long as you can, the best advise can offer.
 
Avoid too much expectations kutoka kwa mke wako yaani ufundishe moyo wako kukubali matokeo ya aina zote mtaishi kwa amani.. kila lenye heri mkuu
 
Ngoja nikupe namba za Achraf Hakimi akuelekeze zaidi, huyu ni Professor wa masuala ya ndoa.
 
Back
Top Bottom