Natarajia kufunga ndoa, nipe maneno ya hekima yatakayonisaidia

Natarajia kufunga ndoa, nipe maneno ya hekima yatakayonisaidia

Mwee....msaidizi wako maana yake kama ana hela anapaswa kukusaidia sasa wats the point ya kuwa na mtu kisa mbususu tuu wakati kitu hicho kwa sasa kipo readily available
Kijana,hatuoi ili kupata msaada wa kifedha wa mwanamke
 
Tambua ya kwamba mwanamke ni binadamu ana matamanio ya kimwili so kigegedwa na wanaume wengi ni jambo la kawaida. Usije ukavunja ndoa eti kisa mke katombwer huko nje
mzabzab hapo unaharibu sasaaa
 
mzabzab hapo unaharibu sasaaa
sasa naharibu nini wakati ndio hali halisi ya sasa kwenye ndoa nyingi.
wewe tatizo lako unataka kudanganyana kuwa ni wakamilifu wakati ukishakubali madhaifu yetu tunakuwa huru.
mie siewezi kuoa mwanamke breki pumbuz alafu nitegemee kuwa hatagegedwa na wanaume wengine eti tuu kisa tuna cheti cha ndoa. thats just inane.
 
Harusi ni sunna njema, kitendo cha watu Wema,owaneni mkae daima kwa mapenzi yalo mema.

Mpende mkeo mlezi wa familia tena ni rafiki yako mchunga nyumba nzima,ukija nyumba kwako mkweli mwaminifu mzuri aso khalifu mcheshi mwenye heshima huondosha hamu yako ukija na maudhiko tena mshauri wako mlinda nyumba nzima.

Twawaombea Salama furaha zisizo mfano kwa Baraka na Neema Allah awape afya nzuri na Watoto wa Kheir.

Rahaaatul Aruusi Yauman Washiddatul Aruusi Daaiman Wabaynahumaa Burdan Burdan,(Raha/Furaha ya harusi ni siku 1ambayo hufanyika sherehe,na shida za harusi zipo kila siku mikwaruzo ktk ndoa,na katika hizo raha na shida kunapatikana burudani furaha ilopitiliza.

Kubwa hili nasisitizaga kwa ndugu zangu wote jamani usisahau ibada mtegemee Mwenyezi Mungu mtangulize Allah kwa kila kitu popote atakuvusha salama.
🙏🙏🙏
 
sasa naharibu nini wakati ndio hali halisi ya sasa kwenye ndoa nyingi.
wewe tatizo lako unataka kudanganyana kuwa ni wakamilifu wakati ukishakubali madhaifu yetu tunakuwa huru.
mie siewezi kuoa mwanamke breki pumbuz alafu nitegemee kuwa hatagegedwa na wanaume wengine eti tuu kisa tuna cheti cha ndoa. thats just inane.
Huyu anaingia kwenye ndoa sasa unapomwambia namna hiyo unamjenga hofu ambayo hakupaswa kuwa nayo
 
1. Mpelekee moto.
2. Mpe hela.
3. EXpect less from her
4. Hakuna jipya sanaa kwenye ndoa.
5. jitahid usiwe mbinafsi , u need to sacrifice more
6. Dont forget urself completelly, u need comfort too..usiwaze sana familia ukajisahau mpaka wewe.
7. Chochote utakachofanya kwa mkeo, dont think u will be appreciated so fanya kwakua ni wajib wako kufanya usifanye ili wakushukuru kumbuka u will never be seen a hero until they lose you.
8. You are not perfect..your wife too...kila mmoja ana madhaifu yake.. appreciate yale machache mazuri aliyonayo..na wewe pia usijalaumu sanaaa pindi unashindwa kukidhi vigezo vyake.....u will not be completelly enough to her soo kila unachoweza fanya usichoweza endelea kujifunza.
9. Jitahid ku maintain your qualities.Mkiwa wawil maisha ya kila siku ni lazima mmoja atamu affect mwenzake positivelly au negativelly..na hili huwa ni ngumu ku notice untill it is too late unajikuta kuna tabia unazo ambazo hukua nazo kabla yake...so either yeye akuvute au wewe umvute uoande wake..ukindwa sanaa hayo mawil basi jitahid ubaki unaffected.

10. Spending sometimes in religious or spiritual moments ni muhim sana ukiwa kwenye ndoa.

11. Usipende kusuluhishwa sana na watuu ..maisha ni ya kwenu and you are in controll as a man..

12. Pesa ndio nguvu za kiume kwa mwanaume.
Mkeo atakuvumilia kwenye yoooote ila sio kwenye njaa..Hapa atakusomesha namba zote zilizoko duniani.

Niishie hapa.
NB.
Nimekushauri kutokana na experience yangu ndogo ya miaka 9 kwenye ndoa.
Umesema yote brother
 
Habari wakuu,

Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.

Natanguliza shukran zangu za dhati.

Kuna tabia hukuwahi kuzijua za mkeo,utazijua ukianza kuishi nae,nyumba Moja,chumba kimoja,kitwnda kimoja.
Weka msimamo wako wazi mapema,bila hivyo Kuna siku utaambiwa ukakate vitunguu,wakati shemeji yupo ana chart insta.
Kama uliaminishwa Ke,Huwa hapigwi,acha hizo mambo,Kuna wakati Ke Inabidi atiwe hata Kofi,akili ikae sawa!!(usipige kuumiza).
Tegemea maneno ya shombo,kama mbona huna Hela/nguvu kama Fulani,usipanik,ukiwa na hasira,Toka ndani,nenda gym,au jogging,au kwa washikqji kwpige story,ukitunza sana mahasira utakuja kupiga mtoto wa watu uue!!
Akizaliwa mtoto,hata kama hufanani nae,(unless awe machina na wewe mbongo),huyo ni wako,mpe jinq,mpende,mtunze.
Ishi maisha unsyotaka wewe,sio kuiga,kama wewe kwa Sasa friji sio kipaumbele,usinunue kwa vile jilani kanunua,wewe nunua gari,nyumba,shamba,anzisha kampuni!
Ni hayo TU kutoka kwa muhenga
 
1. Mpelekee moto.
2. Mpe hela.
3. EXpect less from her
4. Hakuna jipya sanaa kwenye ndoa.
5. jitahid usiwe mbinafsi , u need to sacrifice more
6. Dont forget urself completelly, u need comfort too..usiwaze sana familia ukajisahau mpaka wewe.
7. Chochote utakachofanya kwa mkeo, dont think u will be appreciated so fanya kwakua ni wajib wako kufanya usifanye ili wakushukuru kumbuka u will never be seen a hero until they lose you.
8. You are not perfect..your wife too...kila mmoja ana madhaifu yake.. appreciate yale machache mazuri aliyonayo..na wewe pia usijalaumu sanaaa pindi unashindwa kukidhi vigezo vyake.....u will not be completelly enough to her soo kila unachoweza fanya usichoweza endelea kujifunza.
9. Jitahid ku maintain your qualities.Mkiwa wawil maisha ya kila siku ni lazima mmoja atamu affect mwenzake positivelly au negativelly..na hili huwa ni ngumu ku notice untill it is too late unajikuta kuna tabia unazo ambazo hukua nazo kabla yake...so either yeye akuvute au wewe umvute uoande wake..ukindwa sanaa hayo mawil basi jitahid ubaki unaffected.

10. Spending sometimes in religious or spiritual moments ni muhim sana ukiwa kwenye ndoa.

11. Usipende kusuluhishwa sana na watuu ..maisha ni ya kwenu and you are in controll as a man..

12. Pesa ndio nguvu za kiume kwa mwanaume.
Mkeo atakuvumilia kwenye yoooote ila sio kwenye njaa..Hapa atakusomesha namba zote zilizoko duniani.

Niishie hapa.
NB.
Nimekushauri kutokana na experience yangu ndogo ya miaka 9 kwenye ndoa.
Inabidi ipigwe Lamination na iwe pinned ukiingia tu JF unaisoma kama laboratory rules 😁
 
Naamini swali langu litakua la Pekee na Muhimu zaidi.

● Ndoa yako umeiweka katika msingi upi?

maana inajulikana kabisa dhoruba ipo na itakupata tu, vip umepanga utajiokoa na nini
 
MUNGU awe nanyi muwe na ndoa yenye heri amani furaha na baraka...
Apart from that, kama huna roho ya kiuanaume ndoa itakushinda... All in all tambua kuna kumegewa na ukigundua kaa kimya kwasabab ni maisha ya kawaida tu sikuhiz kumegeana...
By the way hujachelewa KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUM
 
Back
Top Bottom