1. Mpelekee moto.
2. Mpe hela.
3. EXpect less from her
4. Hakuna jipya sanaa kwenye ndoa.
5. jitahid usiwe mbinafsi , u need to sacrifice more
6. Dont forget urself completelly, u need comfort too..usiwaze sana familia ukajisahau mpaka wewe.
7. Chochote utakachofanya kwa mkeo, dont think u will be appreciated so fanya kwakua ni wajib wako kufanya usifanye ili wakushukuru kumbuka u will never be seen a hero until they lose you.
8. You are not perfect..your wife too...kila mmoja ana madhaifu yake.. appreciate yale machache mazuri aliyonayo..na wewe pia usijalaumu sanaaa pindi unashindwa kukidhi vigezo vyake.....u will not be completelly enough to her soo kila unachoweza fanya usichoweza endelea kujifunza.
9. Jitahid ku maintain your qualities.Mkiwa wawil maisha ya kila siku ni lazima mmoja atamu affect mwenzake positivelly au negativelly..na hili huwa ni ngumu ku notice untill it is too late unajikuta kuna tabia unazo ambazo hukua nazo kabla yake...so either yeye akuvute au wewe umvute uoande wake..ukindwa sanaa hayo mawil basi jitahid ubaki unaffected.
10. Spending sometimes in religious or spiritual moments ni muhim sana ukiwa kwenye ndoa.
11. Usipende kusuluhishwa sana na watuu ..maisha ni ya kwenu and you are in controll as a man..
12. Pesa ndio nguvu za kiume kwa mwanaume.
Mkeo atakuvumilia kwenye yoooote ila sio kwenye njaa..Hapa atakusomesha namba zote zilizoko duniani.
Niishie hapa.
NB.
Nimekushauri kutokana na experience yangu ndogo ya miaka 9 kwenye ndoa.