Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

abramaleko

Member
Joined
Feb 22, 2023
Posts
14
Reaction score
48
Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).

Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.

Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua?

Shukrani.
 
Kwa taste yako, unaonekana unataka gari ya "youth generation ' tuseme.

Kama hauna experience ya gari kabisa, ungetafuta nyingine, lakini kama umefanya research na hautaki kutoka kwenye izo tatu, mi naona ungeipa kipaumbele Subaru kisha Crown kisha BMW.

Sijui unataka ukae nayo siku ngapi kisha uuze na unanunua JP au kwa mtu hapa Dar na budget yako ni kiasi gani.

Ila Subaru itakua cheap kununua, cheap ku-run especially kwenye mafuta baadhi ya spare, lakini itakua na resale value ndogo sana. Jana politics observer ameleta hii topic kwamba kwann Imprezza zinashuka sana bei. Unaweza ukanunua leo Mil 15 baada ya mwaka Mil 10 usipate mteja.

Ila Crown itakua reliable zaidi, most comfortable, spare na mafuta vitakunyonya. Pia gharama za kununua kama unaagiza zitakua juu sana.

Kusema kweli BMW ungeacha tu. Izo nzuri zikiwa barabarani zimewasha Angel Eyes. Resale value ya ovyo, spare ghali, na sio durable (usiniquote vibaya. BMW ikivuka miaka 10+ tokea itengenezwe inahitaji matengenezo mengi kwasababu izo E90 zina plastic parts nyingi sana kwenye engine, hafu engine yake inapata joto iyo ova tanuli, pia simple service tu unakuta unaacha 250k,)!, kila kitu inataka premium kuanzia oil, mafuta, spare.

Kuhusu mmafuta, usijidanganye eti nitakua na misele michache.

Ukinunua gari unabadirisha marafiki, unakaa Ubungo anaanza kwenda kunywa bia Bagamoyo, kunyoa Posta, Kununua nguo Temeke, bado bavy nipeleke airport baby tutoke.

Namaanisha lifestyle litabadirika, bila ata ww kujua.

Kwahiyo jitahidi upate ambayo ni rafiki kweenye mafuta (Subaru), spare na service cheap (Subaru/Crown).

Alternative unaweza angalia Toyota na Honda.
 
MTU ambaye Hana uzoefu wa magari huku hajui hata kupima level ya oil anataka kumiliki crown na BMW

Amna chief naona ulikuwa hujanielewa sio kwamba ni mgeni kabisa kwenye upande wa magari hasa kwenye kuendesha kama miaka 3 hvi so vitu basics kama hvyo navijuwa sema nina ugeni kwenye hasa kununua ndio maana nimeomba ushauri
 
Kwa taste yako, unaonekana unataka gari ya "youth generation ' tuseme.

Kama hauna experience ya gari kabisa, ungetafuta nyingine, lakini kama umefanya research na hautaki kutoka kwenye izo tatu, mi naona ungeipa kipaumbele Subaru kisha Crown kisha BMW.

Sijui unataka ukae nayo siku ngapi kisha uuze na unanunua JP au kwa mtu hapa Dar na budget yako ni kiasi gani.

Ila Subaru itakua cheap kununua, cheap ku-run especially kwenye mafuta baadhi ya spare, lakini itakua na resale value ndogo sana. Jana politics observer ameleta hii topic kwamba kwann Imprezza zinashuka sana bei. Unaweza ukanunua leo Mil 15 baada ya mwaka Mil 10 usipate mteja.

Ila Crown itakua reliable zaidi, most comfortable, spare na mafuta vitakunyonya. Pia gharama za kununua kama unaagiza zitakua juu sana.

Kusema kweli BMW ungeacha tu. Izo nzuri zikiwa barabarani zimewasha Angel Eyes. Resale value ya ovyo, spare ghali, na sio durable (usiniquote vibaya. BMW ikivuka miaka 10+ tokea itengenezwe inahitaji matengenezo mengi kwasababu izo E90 zina plastic parts nyingi sana kwenye engine, hafu engine yake inapata joto iyo ova tanuli, pia simple service tu unakuta unaacha 250k,)!, kila kitu inataka premium kuanzia oil, mafuta, spare.

Kuhusu mmafuta, usijidanganye eti nitakua na misele michache.

Ukinunua gari unabadirisha marafiki, unakaa Ubungo anaanza kwenda kunywa bia Bagamoyo, kunyoa Posta, Kununua nguo Temeke, bado bavy nipeleke airport baby tutoke.

Namaanisha lifestyle litabadirika, bila ata ww kujua.

Kwahiyo jitahidi upate ambayo ni rafiki kweenye mafuta (Subaru), spare na service cheap (Subaru/Crown).

Alternative unaweza angalia Toyota na Honda.

Mkuu nimependa sana comment yako, hasa hapo kwenye "youth generation" japo umri umeenda kidogo.

In terms of option i am open to options ila toaI IST na BMW mm mwenyewe nifanya research hasa hzo E90 zinamatatizo kwenye overheating.

Kutoa maelezo zaidi gari nitakayonunua nazini itakuwa second had sio ya kuagiza na in the long term kama mwaka hvi niuze nafikiria hii subaru forester maana nitakuwa naenda sehemu ndani huko bagamoyo . Ila kwa sasa natafuta tuh gari reliable naweza endesha hapa mjini.

Mafuta sio ishu sana naweza extend budget yangu ila kwa juu tuh sina route nyingi sana za mjini maana kazi yangu asilimia nyingi nafanyia nyumbani . Labda tuh kutoka na familia kwenda sehemu mbali mbali au kumpeleka dogo shule labda huko baadae. Ila all in all naona hii subaru impreza is a good option hata wengi wanaisifia ila am open to options kutoka kwa wazoefu. Budget yangu (10M - 15M)
 
Mkuu nimependa sana comment yako, hasa hapo kwenye "youth generation" japo umri umeenda kidogo.

In terms of option i am open to options ila toaI IST na BMW mm mwenyewe nifanya research hasa hzo E90 zinamatatizo kwenye overheating.

Kutoa maelezo zaidi gari nitakayonunua nazini itakuwa second had sio ya kuagiza na in the long term kama mwaka hvi niuze nafikiria hii subaru forester maana nitakuwa naenda sehemu ndani huko bagamoyo . Ila kwa sasa natafuta tuh gari reliable naweza endesha hapa mjini.

Mafuta sio ishu sana naweza extend budget yangu ila kwa juu tuh sina route nyingi sana za mjini maana kazi yangu asilimia nyingi nafanyia nyumbani . Labda tuh kutoka na familia kwenda sehemu mbali mbali au kumpeleka dogo shule labda huko baadae. Ila all in all naona hii subaru impreza is a good option hata wengi wanaisifia ila am open to options kutoka kwa wazoefu. Budget yangu (10M - 15M)
Budget nzuri sana, mi iyo ningeweza ata kuagiza ije tu kutoka JP.

Okay, lakini kama umeamua kununua Bongo naona sawa.

Crown ukiitendea haki kwenye service itadumu sana, ika jiandae na 6-8 km/L ebu piga hesabu. Ila ni Best sedan, inawakalisha Wajerunani.

Options unazo nyingi ila watu wengi (ata mimi), ni waoga sana wa kununua gari kwa Mbongo mwenzetu, unless iwe sina options.

Wabongo wanauza gari wakijua lina shida, wachache wanauza kwa matatizo au ku-upgrade.
 
Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).

Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.

Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua ?

Shukrani
Go for crown.....kama hauna mishe nyingi. Hautojutia hiyo gari.
 
IMG_0028.jpeg
 
Budget nzuri sana, mi iyo ningeweza ata kuagiza ije tu kutoka JP.

Okay, lakini kama umeamua kununua Bongo naona sawa.

Crown ukiitendea haki kwenye service itadumu sana, ika jiandae na 6-8 km/L ebu piga hesabu. Ila ni Best sedan, inawakalisha Wajerunani.

Options unazo nyingi ila watu wengi (ata mimi), ni waoga sana wa kununua gari kwa Mbongo mwenzetu, unless iwe sina options.

Wabongo wanauza gari wakijua lina shida, wachache wanauza kwa matatizo au ku-upgrade.
Hakika bro,mimi ushamba wangu wa kuwa nje ya TZ muda mwingi nilishikishwa gari mbovu balaa na ujanja wangu wote kutokana na kumuamini mbongo,ile pesa niliyoinunulia iiliizidi pesa ya marekebisho,watu wengi walinishauri na mimi niiuze ila akili ikawa inaona huruma kumbambikia mtu mkweche!wabongo sio wa kuwaamini kabisa kwenye issue ya kununua kitu kwake
 
Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).

Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.

Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua?

Shukrani.
Impreza ndo habari y mjini… hasa kwa hiyo budget yako ya wese
 
Back
Top Bottom