Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

Kwa taste yako, unaonekana unataka gari ya "youth generation ' tuseme.

Kama hauna experience ya gari kabisa, ungetafuta nyingine, lakini kama umefanya research na hautaki kutoka kwenye izo tatu, mi naona ungeipa kipaumbele Subaru kisha Crown kisha BMW.

Sijui unataka ukae nayo siku ngapi kisha uuze na unanunua JP au kwa mtu hapa Dar na budget yako ni kiasi gani.

Ila Subaru itakua cheap kununua, cheap ku-run especially kwenye mafuta baadhi ya spare, lakini itakua na resale value ndogo sana. Jana politics observer ameleta hii topic kwamba kwann Imprezza zinashuka sana bei. Unaweza ukanunua leo Mil 15 baada ya mwaka Mil 10 usipate mteja.

Ila Crown itakua reliable zaidi, most comfortable, spare na mafuta vitakunyonya. Pia gharama za kununua kama unaagiza zitakua juu sana.

Kusema kweli BMW ungeacha tu. Izo nzuri zikiwa barabarani zimewasha Angel Eyes. Resale value ya ovyo, spare ghali, na sio durable (usiniquote vibaya. BMW ikivuka miaka 10+ tokea itengenezwe inahitaji matengenezo mengi kwasababu izo E90 zina plastic parts nyingi sana kwenye engine, hafu engine yake inapata joto iyo ova tanuli, pia simple service tu unakuta unaacha 250k,)!, kila kitu inataka premium kuanzia oil, mafuta, spare.

Kuhusu mmafuta, usijidanganye eti nitakua na misele michache.

Ukinunua gari unabadirisha marafiki, unakaa Ubungo anaanza kwenda kunywa bia Bagamoyo, kunyoa Posta, Kununua nguo Temeke, bado bavy nipeleke airport baby tutoke.

Namaanisha lifestyle litabadirika, bila ata ww kujua.

Kwahiyo jitahidi upate ambayo ni rafiki kweenye mafuta (Subaru), spare na service cheap (Subaru/Crown).

Alternative unaweza angalia Toyota na Honda.
Umemdadavulia vizuri na kwa kirefu sana Nadhani atafanya maamuzi sahihi
 
5E2D6519-6F2B-4D26-ABAB-137FC968BFCD.jpeg
Chukua pira hilo, utakuja kunishukuru baadae…
Make sure not zile za fourth generation za kuanzia 2013 - 2015, utakuja kulia..

Mnyama huo apo juu, tena nzuri zaid n zile za 2008 - 2009, stylish, power, speed, features za kizalendo, space etc

Changamoto zipo chini sana, hapo n spacer tuu Ya inch 1 au 1.5..
Pia spare zimechangamka kidogo bei zake, sio km za akina toyota. Japo ukifunga umefunga

Kila la heri
 
BMW 3 series kwenye wese sio mbaya compare to crown na hata spare saiv zipo kibao tu, lakini inahitaji matunzo kama slay queen..
Kama you work from home basi vuta crown yako ni gari ngumu na inavumilia shida, pata 6 speed ile ni nzuri zaidi, japo kidebe kitaongezeka kidogo compare na Bmw.....

Karibu kwenye game
 
View attachment 3127191Chukua pira hilo, utakuja kunishukuru baadae…
Make sure not zile za fourth generation za kuanzia 2013 - 2015, utakuja kulia..

Mnyama huo apo juu, tena nzuri zaid n zile za 2008 - 2009, stylish, power, speed, features za kizalendo, space etc

Changamoto zipo chini sana, hapo n spacer tuu Ya inch 1 au 1.5..
Pia spare zimechangamka kidogo bei zake, sio km za akina toyota. Japo ukifunga umefunga

Kila la heri
Kwa nn bongo hizi gari hazizungumzwi sana ? Ni mbovu au ndio tushazoea mjapani?
Screenshot_20241006_174203_Chrome.jpg
 
Kwa nn bongo hizi gari hazizungumzwi sana ? Ni mbovu au ndio tushazoea mjapani?View attachment 3136179
Bac tuu n kuigana na kupumbazana, subaru, nissan, volkswagen, bmw, mercidez, mazda, etc hizi n kampuni bora zinazotoa magari bora n yakisasa yenye masoko makubwa inch za ulaya.

Na bongo ndo inch pekee tunayokomaa na matoyota, tena yale maold fashion, cjui nani katuroga

Tunazidiwa hadi na malawi, zimbabwe, zambia, (kenya, rwanda) ndo hatugusi kabisa.

Mtu ananunua rav4 old ya 1999 tena kwa gharama kubwa sn… gari no safety feature, no comfort, its not luxury…

Wanakomaa na maground clearence eti cjui durable si uchizi huu?

Ww umenunua gari la 1999 mwaka wa 2024 kisa spare nafuu eti durable wakati ikitokea ajari ndogo tuu umekwenda na maji ss ipi faida yake?

Now days tire ikiisha upepo gari inakwambia, dereva ukiwa n fatigue gari inakwambia, kukiwa n utelezi gari inakwambia n tire zina behave according to the road condition.

Airbegs hadi siti za nyuma, suspension zinazosaidia gari kuto kuroll, crash resistance, na safety future kibao… ila still wabongo wanakomaa na TI carina ukiuliza eti bodi gumu “stupid”
 
Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).

Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.

Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua?

Shukrani.

Angalia Garage ya Lugumi kwanza.
 
Alphad gari nzuri sn, ila backup muhimu sn…
Yan kama hilo hilo unaendanalo kazini, misele, family trip, mishen town mzeee litakupopoa vibaya sn…
Ukiwa n alphad lazima uwe n kabebi walker pembeni kwaajiri y mizunguko y kawaida
 
Kwa budget ya 250k kwa mwezi iweke crown pembeni.

Labda kama mda mwingi gari itakua imepaki.

NB: Nina crown 3gr, naongea from experience. Hata 4GR haiwezi kukupa good fuel efficiency.
Its better achukue premio old model
 
Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).

Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.

Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua?

Shukrani.
Fanya maamuzi,acha kusikiliza ushauri wa watu,hutafanya kitu
 
Back
Top Bottom