rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Unaenda dukani na kurudi au unaongelea kutembea vipi??Full tank natembelea siku 23-25 ila ss nataka nirecord inakuwa ni km ngap nijue fuel efficiency yake ila najuwa itakuwa sio nzuri sana š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda dukani na kurudi au unaongelea kutembea vipi??Full tank natembelea siku 23-25 ila ss nataka nirecord inakuwa ni km ngap nijue fuel efficiency yake ila najuwa itakuwa sio nzuri sana š¤£
Unajua forester full tank ni kiac gan,,,,,, wakat nilivyonunua crown nilikua nikijaza mafuta full tank,,,, kwenda kazin, msikitin na misele ya hapa na pale nafikisha km 700+, na yalikua yanafika wiki tatu bila kuwasha taa wiki ya nne ndio inawaka. Now niko na premio najaza kila mwez full tank na ninayoboa nayo wiki 4 bila taa kuwakaUnaenda dukani na kurudi au unaongelea kutembea vipi??
mzee wa kula tunda kimasiharaš ,Recent which?? wew nunua gari ya kujifunzia kama ndo unaanza maisha hizo za mzungu au gari weseee inakula kama ina wazimu aiseee utayachukia magariii, kamata IST..VITZ yani humooo premior nayo inavumilia shida unanunua mzungu hujui hata kuna suala la kuangalia oil kila siku?? maji unajisahau mpaka gari inachemshaaa service ndo unapitisha miezi 6 mbeleee
Ww acha masihara yani gari yenyewe crown na unasema full tank unaenda km700 umeandika sahihi kweli mkuu?Unajua forester full tank ni kiac gan,,,,,, wakat nilivyonunua crown nilikua nikijaza mafuta full tank,,,, kwenda kazin, msikitin na misele ya hapa na pale nafikisha km 700+, na yalikua yanafika wiki tatu bila kuwasha taa wiki ya nne ndio inawaka. Now niko na premio najaza kila mwez full tank na ninayoboa nayo wiki 4 bila taa kuwaka
Yan nina uhakika,,,, nilikua napata 10 km kwa lita na crown nilikua najaza lita 71 netWw acha masihara yani gari yenyewe crown na unasema full tank unaenda km700 umeandika sahihi kweli mkuu?
Na kuna muda nilikua nafik mpak 13 km kwa litaWw acha masihara yani gari yenyewe crown na unasema full tank unaenda km700 umeandika sahihi kweli mkuu?
Laki 250 hata subaru uwez ihudumiaKwa budget ya 250k kwa mwezi iweke crown pembeni.
Labda kama mda mwingi gari itakua imepaki.
NB: Nina crown 3gr, naongea from experience. Hata 4GR haiwezi kukupa good fuel efficiency.
Ushamba na kuigana broā¦Umeongea sahihi mkuu.
Niliwahi kuishi Lusaka (Zambia) Kwa kipindi fulani, aisee kule ndinga barabarani ni vyuma vya mzungu tu.
Mjapani ni kwenye public transport tu (hiace & co).
Lakini kwenye private ride na government vehicles, chuma za ulaya ndiyo zimejaa kwa road.
Nikawa najiuliza why bongo tunakomaa sana na Toyota? Ni umasikini wa kipato? ama ni umasikini wa fikra (uoga wa maisha)?
-Kaveli-