politics observer
JF-Expert Member
- Jun 18, 2024
- 385
- 299
Inawezekana kabisa crown kuwa gari lako la kwanza… Halina maajabu yoyote yake…MTU ambaye Hana uzoefu wa magari huku hajui hata kupima level ya oil anataka kumiliki crown na BMW
Umemdadavulia vizuri na kwa kirefu sana Nadhani atafanya maamuzi sahihiKwa taste yako, unaonekana unataka gari ya "youth generation ' tuseme.
Kama hauna experience ya gari kabisa, ungetafuta nyingine, lakini kama umefanya research na hautaki kutoka kwenye izo tatu, mi naona ungeipa kipaumbele Subaru kisha Crown kisha BMW.
Sijui unataka ukae nayo siku ngapi kisha uuze na unanunua JP au kwa mtu hapa Dar na budget yako ni kiasi gani.
Ila Subaru itakua cheap kununua, cheap ku-run especially kwenye mafuta baadhi ya spare, lakini itakua na resale value ndogo sana. Jana politics observer ameleta hii topic kwamba kwann Imprezza zinashuka sana bei. Unaweza ukanunua leo Mil 15 baada ya mwaka Mil 10 usipate mteja.
Ila Crown itakua reliable zaidi, most comfortable, spare na mafuta vitakunyonya. Pia gharama za kununua kama unaagiza zitakua juu sana.
Kusema kweli BMW ungeacha tu. Izo nzuri zikiwa barabarani zimewasha Angel Eyes. Resale value ya ovyo, spare ghali, na sio durable (usiniquote vibaya. BMW ikivuka miaka 10+ tokea itengenezwe inahitaji matengenezo mengi kwasababu izo E90 zina plastic parts nyingi sana kwenye engine, hafu engine yake inapata joto iyo ova tanuli, pia simple service tu unakuta unaacha 250k,)!, kila kitu inataka premium kuanzia oil, mafuta, spare.
Kuhusu mmafuta, usijidanganye eti nitakua na misele michache.
Ukinunua gari unabadirisha marafiki, unakaa Ubungo anaanza kwenda kunywa bia Bagamoyo, kunyoa Posta, Kununua nguo Temeke, bado bavy nipeleke airport baby tutoke.
Namaanisha lifestyle litabadirika, bila ata ww kujua.
Kwahiyo jitahidi upate ambayo ni rafiki kweenye mafuta (Subaru), spare na service cheap (Subaru/Crown).
Alternative unaweza angalia Toyota na Honda.
Kwa nn bongo hizi gari hazizungumzwi sana ? Ni mbovu au ndio tushazoea mjapani?View attachment 3127191Chukua pira hilo, utakuja kunishukuru baadae…
Make sure not zile za fourth generation za kuanzia 2013 - 2015, utakuja kulia..
Mnyama huo apo juu, tena nzuri zaid n zile za 2008 - 2009, stylish, power, speed, features za kizalendo, space etc
Changamoto zipo chini sana, hapo n spacer tuu Ya inch 1 au 1.5..
Pia spare zimechangamka kidogo bei zake, sio km za akina toyota. Japo ukifunga umefunga
Kila la heri
Bac tuu n kuigana na kupumbazana, subaru, nissan, volkswagen, bmw, mercidez, mazda, etc hizi n kampuni bora zinazotoa magari bora n yakisasa yenye masoko makubwa inch za ulaya.Kwa nn bongo hizi gari hazizungumzwi sana ? Ni mbovu au ndio tushazoea mjapani?View attachment 3136179
Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).
Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.
Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua?
Shukrani.
Kwa hiyo budget surely does utakuwa unatumia ist… au alikeNimekwama hapo bajeti ya mafuta 250,000 kwa mwezi.
Huyu jamaa kajipata haswaaaaAngalia Garage ya Lugumi kwanza.
Yeah ,long money! YMCMB - Big Money Heavy Weight.Huyu jamaa kajipata haswaaaa
Its better achukue premio old modelKwa budget ya 250k kwa mwezi iweke crown pembeni.
Labda kama mda mwingi gari itakua imepaki.
NB: Nina crown 3gr, naongea from experience. Hata 4GR haiwezi kukupa good fuel efficiency.
Fanya maamuzi,acha kusikiliza ushauri wa watu,hutafanya kituHabari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008).
Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio mtu wa mishe mishe sana mjini kwahio matembezi yangu ni madogo sababu i work from home. Na kwa upande wa mafuta kwa budget yangu at least isizidi 250,000 kwa mwezi.
Naombeni ushauri kati ya hizo gari na yapi ya kuangalia wakati unanua?
Shukrani.
Go for escudo...hiyo volts wenyewe kwanza washaacha kuitengeneza kitamboMi nataka niende na Toyota voltz, Suzuki Escudo au Mitsubish outlander nipeni uzoefu
Achana na gari old model kijana....jichangechange utumie gari recent kidogo zenye upgrade ya vitu vingi including safety features...buy a car inayoweza kukulinda pia siku lolote likitokeaIts better achukue premio old model