Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimaliza zote nitagZinaendea bado 8
Hakikakama ni mlevi itoshe kukushauri achana nae mapema binti yangu
Nimejikuta najiuliza kuhusu jimbo lakoHahahaaa. Ila maisha haya bana. Lol.
Mtu anaetumia laki 3 kwa siku huyo ni tajiri, kuacha utajiri ni ujinga.Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
Labda mwanamke ndo anapesa..Mtu anaetumia laki 3 kwa siku huyo ni tajiri, kuacha utajiri ni ujinga.
Hayo ya kusema sijui kaoa mke wa siri sijui nini huo ni wivu wako tu.
walevi ni wapumbavu sanaHakika
Hii ni kama haiwezekani.Labda mwanamke ndo anapesa..
Lijamaa ndo linatumia vibaya..
Labda 🤔🤔
Nani mpumbavu? Naomba tuheshimiane.walevi ni wapumbavu sana
Jamaa Linachota, linaiba 🤔Hii ni kama haiwezekani.
Mwanamke hawezi kukupa laki tatu kila siku ukalewee.
Khaaa.Nimejikuta najiuliza kuhusu jimbo lako
Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
jitaiidi ujinasue kwenye hilo dimbwi la wapumbavu nduguNani mpumbavu? Naomba tuheshimiane.
Shida niniKhaaa.
Umenishangaza ndugu mwasibu sasa mambo ya jimbo ayalete mwenye uzi wake halafu uanze kujiuliza kuhusu la kwangu.Shida nini
Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
Hahahaaaaa, hamna bhana. Hizo hela ni za jamaa.Jamaa Linachota, linaiba 🤔
Wapumbavu watu gani? Hapa niko nautwika.jitaiidi ujinasue kwenye hilo dimbwi la wapumbavu ndugu
Kwahiyo hapa unaomba ushauri ama unaturingishia matumizi yake? Wewe bi dada dunia ya leo cha pekeyako kaburi tu, kaa tuliza mshono. Kama ni penzi utapata tu hata kwa jirani ila penzi la dhati utapata kwa Mungu siku ukifa na kuingia peponi!Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.