uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Umepiga mule muleKipato/Mshahara wake ni zaidi ya 9m, wewe huwezi kubanduka wabongo mko after money.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepiga mule muleKipato/Mshahara wake ni zaidi ya 9m, wewe huwezi kubanduka wabongo mko after money.
waulize hao mabarmed apo bar counterInasemaje?
- unataka kusema unadate na waziri sio?Kuna wizara zina mapesa wee kaa hivyo hivo.
Huyu anaendelesha gari kubwa. V8 na mkewe mim nina ka Mack X
Mchepuko nilifuatilia una subaru...hayo yote anatoa mafuta petrol station tunaitia kiweka tu...siku moja nilivizia pale sheli nikaiona subaru...baada kujaza mafuta nikamfata shell attendant akasema ameweka full tank
Si unaona!?Kuna wizara zina mapesa wee kaa hivyo hivo.
Huyu anaendelesha gari kubwa. V8 na mkewe mim nina ka Mack X
Mchepuko nilifuatilia una subaru...hayo yote anatoa mafuta petrol station tunaitia kiweka tu...siku moja nilivizia pale sheli nikaiona subaru...baada kujaza mafuta nikamfata shell attendant akasema ameweka full tank
anaishije na mwanamke,kwa siri? hakuwahi kwambia ana mke? kana hakuai kwambia muache haraka shoga anguHuyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
Kweli ni Mlamba asali sana. Kwa siku ana kula 3lacs?Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
May be ni wale wa changombeDah! wewe kama umeamua kumuacha tu sawa lakini hakuna anayetumia mamilioni ya pesa kwa mwezi kunywa tu! kazi yake ni ipi na mashahara wake sh. ngap? huo ulevi umemkuta nao au ameanza baada ya kuwa na wewe? je ni mumeo au mpenzi?
Once a golddigger is always a golddiggerHuyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.