OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Unanikataza kuwaza?Umenishangaza ndugu mwasibu sasa mambo ya jimbo ayalete mwenye uzi wake halafu uanze kujiuliza kuhusu la kwangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikataza kuwaza?Umenishangaza ndugu mwasibu sasa mambo ya jimbo ayalete mwenye uzi wake halafu uanze kujiuliza kuhusu la kwangu.
umeshalewa ndugu hapa hatutaelewanaWapumbavu watu gani? Hapa niko nautwika.
Unaijua laki tatu wewe......???Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
Sijalewa bado mkuu. Nambie tunafanyaje.umeshalewa ndugu hapa hatutaelewana
Tuanzie hapa kwanza,kwani wewe ni mke wake au mchepuko au mpenzi...?Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
Msamehe kama mmefunga ndoaHuyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
jikite kwenye mada tajwaSijalewa bado mkuu. Nambie tunafanyaje.
Inasemaje?jikite kwenye mada tajwa
Anatupanga huyu ,,#Maskini hana kiapoKipato/Mshahara wake ni zaidi ya 9m, wewe huwezi kubanduka wabongo mko after money.
Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
Hebu Tulia kwanza...Hahahaaaaa, hamna bhana. Hizo hela ni za jamaa.
Mwanamke anatakiwa apambane kumnusuru jamaa na alcoholsm na siyo kumkimbia.
Nina ndugu yangu, rafiki yangu wa kufa na kuzikana.
Ni Afisa huko nyanda za juu kusini. Ndugu yangu huyu ana tatizo la pombe, tangu asubuhi amelewa hadi kesho.
Mke wake hajamtupa, keshampeleka kwa Mwamposa, wapi, na kila sehemu wala hana mpango wa kumuacha.
Huwa nawaza, labda ni kwa sababu amemuoa bikra?
Maana wakati anaenda kuoa aliniambia kabisa ''mwanangu naenda kumuoa huyo binti, nimemkuta bikra''
Kaandika 300,000/- ili aonekane ana date na mshuaKipato/Mshahara wake ni zaidi ya 9m, wewe huwezi kubanduka wabongo mko after money.
Umechelewa sana,tafuta mwenzako ufanye maisha mjijenge pamojaHuyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani.
Sababu z kuachana
1. Mlevi kupindukia
2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3
3. Ameoa anaishi na mke kwa siri.
4.
We mwasibu hebu niache.😉Unanikataza kuwaza?
Kuna wizara zina mapesa wee kaa hivyo hivo.Mtu anaetumia laki 3 kwa siku huyo ni tajiri, kuacha utajiri ni ujinga.
Hayo ya kusema sijui kaoa mke wa siri sijui nini huo ni wivu wako tu.