Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Nikipika mwosha vyombo lazima ufurahi, vyombo beseni2[emoji85][emoji85]
Khaa yaani wewe hauna tofauti na mama yangu, kiasi kwamba siku akisema anaingia jikoni kutupikia tunamuambia hapana mama acha tu tutapika wenyewe maana tunajua shughuli yake baada ya hapo.

Shida nini hadi mnatumia vyombo hivyo
 
Khaa yaani wewe hauna tofauti na mama yangu, kiasi kwamba siku akisema anaingia jikoni kutupikia tunamuambia hapana mama acha tu tutapika wenyewe maana tunajua shughuli yake baada ya hapo.

Shida nini hadi mnatumia vyombo hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie hata huwa sielewi, najikuta tu vyombo vimejaa jikoni.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Yeah Upo Aisee sihitaji wafadhili (mkongo + mmasai[emoji1787][emoji1787] )Vipi huko mtaji upo wa kutosha ? (churaaa [emoji1787][emoji1787])
Mkongo+mmasai[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Mie sina mtaji ndugu yangu.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Sidhani kama naenjoy kuosha vyombo; ila majority wanasema napenda kuosha vyombo. Ila ole wako sasa ujaze masufuria
Nikipika mwosha vyombo lazima ufurahi, vyombo beseni2[emoji85][emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kusema kwamba ulitegemea tuwe kwenye happy ending ?? [emoji16][emoji16] muda bado ngoja tule kwanza
Kwahiyo ndio mwala? [emoji134][emoji134][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…