Mie sipendiii halafu ndio nina matumizi mabaya ya vyombo basi taabu tupu[emoji134][emoji134]Sidhani kama naenjoy kuosha vyombo; ila majority wanasema napenda kuosha vyombo. Ila ole wako sasa ujaze masufuria
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia sijawahi kuchukia kuosha vyombo. Happy EasterSidhani kama naenjoy kuosha vyombo; ila majority wanasema napenda kuosha vyombo. Ila ole wako sasa ujaze masufuria
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ndiyo ninyi sufuria au bakuli ukiwekea maji tu basi tayari ni chafu ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie hata huwa sielewi, nakikuta tu vyombo vimejaa jikoni.
Nimeiona, nimekumiss pia totoo.
Ule uzi wenu speed yake nimeshindwa, nisalimie kina Saint Anne na Numbisa waambie wawe wanakuja na kwingine basi.
Doh, tuliojishibia zetu githeri tutulie tu.
Tupo wanne sijui umesahau kunihesabu mimi? Hata hivyo huu uzi unahusiana nini na mambo ya haki sawa?Kwani hamjijui? Mbona mmeshakaribiana, nawaona watatu hapo!
Hivi githeri ni nini?Doh, tuliojishibia zetu githeri tutulie tu.
Kwa kweli mwenyewe hakuna kazi siipendi kama kusugua masufuria japo nyumbani mie ndiyo nasifika kwa kusugua masufuria vizuri, yaani mie kazi nyingi sizipendi ila nikifanya nafanya kweli maana huwa sipendi kulipua.Sidhani kama naenjoy kuosha vyombo; ila majority wanasema napenda kuosha vyombo. Ila ole wako sasa ujaze masufuria
Sent using Jamii Forums mobile app
Inspector Mwala au ??Kwahiyo ndio mwala? [emoji134][emoji134][emoji134]
Zimefika Anko [emoji120][emoji120][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] na wewe naomba nisaidie kuwafikishia salamu hao watoto tafadhali, kina carbamazepine na anko wangu andjul pia usiwasahau.
Au.Inspector Mwala au ??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] teh kwa kweli ndiyo maana hata Mungu anawasaidia wale wanaojisaidia wao kwanza, mie mtu akitaka nimsaidie vyombo basi awe mtumiaji mzuri akitumia vibaya ataosha mwenyewe. Cha kumsaidia labda nitaosha vyombo nilivyolia mimi tuMie sipendiii halafu ndio nina matumizi mabaya ya vyombo basi taabu tupu[emoji134][emoji134]
Uje uwe unaosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24] View attachment 1417207
Ujanja ni ukichafua unaosha ukimaliza kupika unabaki na vyombo vichache.Mie sipendiii halafu ndio nina matumizi mabaya ya vyombo basi taabu tupu[emoji134][emoji134]
Uje uwe unaosha.
Hivi kumbe bado upo jf?Zimefika Anko [emoji120][emoji120]
Uwe na Pasaka njema.
Kuna sehemu numbwene Heaven Sent, umponiege...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazichuna..Hongera mkuu ila kucha za kuku ungezikata ingependeza zaidi
Simple tu, sikupikii.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] teh kwa kweli ndiyo maana hata Mungu anawasaidia wale wanaojisaidia wao kwanza, mie mtu akitaka nimsaidie vyombo basi awe mtumiaji mzuri akitumia vibaya ataosha mwenyewe. Cha kumsaidia labda nitaosha vyombo nilivyolia mimi tu
Hata Kama kazichuna kucha za kuku nijuavyo mimi hazipikwi zinakatwa kabla ya kupika.Kazichuna..
Hivyo hivyo INAPENDEZA.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Anko wako keshakuja nadhani umemuona[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] na wewe naomba nisaidie kuwafikishia salamu hao watoto tafadhali, kina carbamazepine na anko wangu andjul pia usiwasahau.