Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Ndio nasaka kibarua kweny mshamba ya watu baada ya kugive Up [emoji1787][emoji1787]. Nimeona nawe wasaka, Sasa si uje Tupeane kazi (tuajiriane) kuwa kibarua sio mchezo ujue [emoji38][emoji38][emoji38]
Tuajiriane bhana tupeane Mema ya nchi with caution Mana Mimi Mzee wa kuzama [emoji38][emoji38][emoji38]
Ooooh!! Sasa mwenzangu una mtaji? Maana mie ndio nilikuwa nasaka kibarua ili angalau nipate mtaji wa kujiajiri. Kama mtaji upo nije tu tujiajiri maana hamna namna.
 
Hahahaha we siyo mtu wa kwanza kusikia unalalamikia kazi ya kuosha vyombo, kwa kweli sijawahi kusikia mtu ananiambia anapenda kuosha vyombo.

Hilo huwa linanifanya hata mimi nipike kwa umakini sana maana vikijazana tu naishiwa nguvu ghafla, ndiyo maana huwa sipendi kupika mboga nyingi.
Nikipika mwosha vyombo lazima ufurahi, vyombo beseni2[emoji85][emoji85]
 
Ooooh!! Sasa mwenzangu una mtaji? Maana mie ndio nilikuwa nasaka kibarua ili angalau nipate mtaji wa kujiajiri. Kama mtaji upo nije tu tujiajiri maana hamna namna.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Yeah Upo Aisee sihitaji wafadhili (mkongo + mmasai[emoji1787][emoji1787] )Vipi huko mtaji upo wa kutosha ? (churaaa [emoji1787][emoji1787])
 
HERI YA SIKU YA PASAKA WAKUU..

Kama kawaida leo ni sikukuu na hua sikukuu ndio siku ninayo import kazi niliyoilewa jf(piemu) angalau ije nyumbani tusherekee kwa pamoja. Watalaam wanasema jiko la bachela au msela leo linafuka moshi.

Kama kawaida master chef wenu leo nawaletea hatua kwa hatua maandalizi ya chochote kitu mtawakilishwa na huyo mwenzenu kwenye kula[emoji23]..

Karibuni hatua kwa hatua

Maandalizi

Kuku mzima
Kitimoto kg 2
Unga wa ngano
Mayai mawili
Ndizi chaguo lako(mshare au mzuzu)
Viungo muhimu kama chiken masala,pilipili manga,vitunguu thoum,tangawizi mbichi,limao,karot,hoho,matango,chumvi,halil motto,maziwa, n.k

Twende pamoja View attachment 1417063View attachment 1417064View attachment 1417065

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh kupika naweza. Wali na mboga etc ila mzigo complicated kama huo kipaji sina. Hongera sana.
 
Back
Top Bottom