BOXER kijora ni toleo la boxer jepesi sana hasa chombo kikiwa kwenye mwendo.
ingekua ile BM X (domo la mamba) ile kidogo amani ila hii nyeusi Kijora mkuu ushauri wangu ni mmoja.
Helmet uvae, huo mwili uzungushie kila unachoweza uzungushia yani ji kave haswa hata likitokea la kutokea udunde kama kitenesi tu. (sikuombei hayo)
ila unafika vizuri sana mimi naendaga dodoma Straight yani nikitoka Dar naenda piga break Moro then nikiamsha ni break dodoma go n return.
Japo situmiii BOXER ila pikipiki inafika popote pale ujue tu kuzingatia Oil,Service na usalama wako binafsi.