Fanya kila unachoona ni chema machoni pako, yan jisikilize wewe ndo unauamuzi sahihi ufanye nini.Asante kwa ushauri kiongozi ila huyu mwanamke ametokea kunikubari sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Endelea nae tuu maana huyo Demu lazima atakuwa pisi tuu!! Kama watu wawili wote mmemuona yeye tuu....Ila akirudi usisahu kutuletea mrejesho maana wafumaniaji tuna mbinu nyingi za kufumania huenda jamaa yupo maeneo anakuvizia tuu...Kakupoteza s.A ili ujiachie Akuvishe shanga vizuri.
Andaa mafuta, andaa taulo la kujifutia anza kujifunza style za kuinama mapema...... Anaekula Cha mwenzie na chake uliwa..... UTAKULWA UTANYWEWA SUPU UTABEBWA KWA BEGAHii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Acha upuuziAndaa mafuta, andaa taulo la kujifutia anza kujifunza style za kuinama mapema...... Anaekula Cha mwenzie na chake uliwa..... UTAKULWA UTANYWEWA SUPU UTABEBWA KWA BEGA
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Fanya kila unachoona ni chema machoni pako, yan jisikilize wewe ndo unauamuzi sahihi ufanye nini.
Hapana yupo South hata namba alionipigia niyasauziEndelea nae tuu maana huyo Demu lazima atakuwa pisi tuu!! Kama watu wawili wote mmemuona yeye tuu....Ila akirudi usisahu kutuletea mrejesho maana wafumaniaji tuna mbinu nyingi za kufumania huenda jamaa yupo maeneo anakuvizia tuu...Kakupoteza s.A ili ujiachie Akuvishe shanga vizuri.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ivi hii ipo kweliSikuhizi ukijaa kwenye anga za watu wanakuchekecha vizuri firigisi, utumbo, maini, bandana na ugali wa dagaa uliokula vinavurugana humo tumboni alafu wanakuacha unaenda kufia mbele huko. Petrol bei juu
Dah [emoji22] usinikumbushe ya lindi[emoji1][emoji1] mpwayungu village
Utapasuliwa meno ya mbele ndugu yangu ooh nikupe rai acha hiyo la sivyo utapitia madhila mazito kama yale yaliokukuta Kilwa Lindi.
Usiogope Kula kituHapana yupo South hata namba alionipigia niyasauzi
Dah [emoji22] SawaChief, huwa kuna streets rules na sheria za nchi, za nchi ndio ile mtu unasikia kafungwa, kapelekwa police n.k
Sheria za mtaa kwa kesi hizi za wake wa watu maamuzi huwa ni mawili tu,
1. Marinda huwa hayabaki
2. Ndio huko unaposema nimekimbilia
Umenielewa?
πππWanakuwa watamu sana halafu kila siku ananiletea chakula gheto yani hadi raha utamu [emoji39]
Tutakuja kwenye matanga usijali endeleeni tuHii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Jiandae mapema kabisa yajayo yanafurahishaAcha upuuzi