National crisis: Vijijini hakuna watu kabisa, wamebaki wazee wachache na vijana walevi wa visungura

National crisis: Vijijini hakuna watu kabisa, wamebaki wazee wachache na vijana walevi wa visungura

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nchi hii imebaki tupu kila mahali, watu wameenda wapi? Vijijini hakuna watu kabisa, kuna wazee wazee wachache tu wanaosogeza sogeza siku huko, na vijana wachache wanasukuma sukuma siku zipite kwa visungura vile vikali kabisa…, such a hopeless life.

Kweli ndio tuseme vijana wote wapo mijini? Miji yenyewe ya maana haifiki hata mitano.., tuelezwe, watu milioni 60 wapo wapi?!

Imagine hata sehemu kama Sinza na Tabata, now adays zinadorora hadi inashangaza, tofauti na miaka ya nyuma, usiku Sinza siku hizi ukioita hakuna tofauti na Mtwara vijijini, mapub yajo totally empty, taa tu zinawaka waka hopelessly?! Watu milioni 60 wako wapi?!

Sabasaba iliyopita nilienda, sikuamini nikichokiona, ita hopeless, tukiwahi kupelekwa sabasaba miaka ya nyuma na wazazi wetu, shamrashamra lake halikuwa la kawaida, ila this time around it was too sad, it felt unimaginably lonely, sooo hopeless, hakuna watu, watu milioni 60 wako wapi?!
 
Umetembelea vijiji vingapi? Na hivyo visungura vinauzwa kwenye kila kijiji?
Nimetembelea vingi sana along my travels.., vijumba ni vichache pia.., sasa unajiuliza , hawatu milioni 60 wanaishi juu ya mibugu.., mbona nyumba zipo soo scarce.., yapo mapori mpaori tu , hata kulimwa hayalimwi, kwanza hiko chakula cha kulisha watu milioni 60 kinatoka wapi? Mimi nakataa , hii nchi tukizidi sana tupo laki5 , no way!!!
 
Tulia uandike vzur kwanza il tujue ww uko wap mjin au kijijin
Ndugu, hiko mikoani hata icheze Simba na Yanga, viwanja vinakuwa empty, watu hakuna!! Watu kuzaa hawazai.., kazi kunywa visungura, hasa rombo.., zamamni wamama walikuwa wanazalishwa hadi yai la mwisho, kakoswa koswa sana ni watoto 10! Hivi sasa vijijoni nafuu hata mjini.., watu hakuna, vijana hawazai, na wa kuzaa nao hawapo, tunakuwa kama Japan sasa, what loneliness!!

Hata vinarua wa kazi za ujenzi siku hizi nawatafuta kwa tochi.., wote wamekinbilia visungura, hata kazi hawawezi, kuzalisha hawawezi, kazi hawawezi, fuckn zombies! Wat hopelessness!! Kazi kubet na visungura..
 
Mkuu hii nchi ni kubwa sana. Hata kama umetembea sana nadhani itakuwa umetembelea ukanda fulani tu na sio nchi nzima. Watu wapo wengi sana. Ukibahatika kutembelea maeneo yanayolimwa kilimo cha kibiashara utaona mashamba ambayo unakatiza masaa kwa masaa kwa gari. Kuna watu wana mifugo idadi yakushangaza, mashamba malaki ya hekari.

Jaribu kutembelea kanda tofauti tofauti utajionea mengi.
 
Nimetembelea vingi sana along my travels.., vijumba ni vichache pia.., sasa unajiuliza , hawatu milioni 60 wanaishi juu ya mibugu.., mbona nyumba zipo soo scarce.., yapo mapori mpaori tu , hata kulimwa hayalimwi, kwanza hiko chakula cha kulisha watu milioni 60 kinatoka wapi? Mimi nakataa , hii nchi tukizidi sana tupo laki5 , no way!!!
Laki 5 hata idadi ya watu wa wilaya ya Mkuranga wamezidi, hebu kuwa serious kidogo.
 
Mkuu hii nchi ni kubwa sana. Hata kama umetembea sana nadhani itakuwa umetembelea ukanda fulani tu na sio nchi nzima. Watu wapo wengi sana. Ukibahatika kutembelea maeneo yanayolimwa kilimo cha kibiashara utaona mashamba ambayo unakatiza masaa kwa masaa kwa gari. Kuna watu wana mifugo idadi yakushangaza, mashamba malaki ya hekari.

Jaribu kutembelea kanda tofauti tofauti utajionea mengi.
Mashamba yaliyolimwa kwa trekta na mtu mmoja halafu watu hakuna,? Watu wako wapi jamani? Wasanii wakifanya show watu hakuna, wanasiasa wakifanya mikutano watu hakuna.., wako wapi watu?!!
 
Kweli ndio tuseme vijana wote wapo mijini? Miji yenyewe ya maana haifiki hata mitano.., tuelezwe, watu milioni 60 wapo wapi?!
Wakati wa sensa watu wamepika sana Data. Inawezekana watanzania tupo zaidi ya 60 millions. Nilikuwa ninafanya kazi ya ukarani wa sensa kwa kufuata procedures kama tulivyofundishwa na wakufunzi, aisee nilitaka kufukuzwa eti nipo slow sana..
 
Laki 5 hata idadi ya watu wa wilaya ya Mkuranga wamezidi, hebu kuwa serious kidogo.
We uliwahesabu lini?! Hii sensa ya kufadhiliwa na wamarekani na billgates sio ya kuamini, nina mashaka makubwa tumeshapunguzwa sana! Mabibi zangu wote walizaa watoto 10+ , siku hizi watu wanauziwa P2 kama karanga, hoplessness!!! Visungura vinaletea watu uhanithi, watazaa vipi kama hawasimamishi?! Hii nchi tunathamini kodi kuliko afya kweli?!!!
Abortion imekuwa kama kung’oa jino.., wat has become of us!!! Watu wako wapi, bar hazijazisiku hizi kama zamani, why?! Show za wasanii hazijai.., mikutano ya wanasiasa ni empty!! Mechi za mpira mikoani empty!!! Walioa kodi eti ni milioni 2!!! Wengine wako wapi?!
 
We uliwahesabu lini?! Hii aensa ya kufadhiliwa na wamarekani na billgates sio ya kuamini, nina mashaka makubwa tumeshapunguzwa sana! Mabibi zangu wote walizaa watoto 10+ , siku hizi watu wanauziwa P2 kama karanga, hoplessness!!! Visungura vinaletea watu uhanithi, watazaa vipi kama hawasimamishi?! Hii nchi tunathamini kodi kuliko afya kweli?!!!
Abortion imekuwa kama kung’oa jino.., wat has become of us!!! Watu wako wapi, bar hazijazisiku hizi kama zamani, why?! Show za wasanii hazijai.., mikutano ya wanasiasa ni empty!! Mechi za moira mikoani empty!!! Wakioa kodi eti ni milioni 2!!! Wengine wako wapi?!
I have no interest in debating flat earth theory.
 
Nchi hii imebaki tupu kila mahali, watu wameenda wapi? Vijijini hakuna watu kabisa, kuna wazee wazee wachache tu wanaosogeza sogeza siku huko, na vijana wachache wanasukuma sukuma siku zipite kwa visungura vile vikali kabisa…, such a hopeless life.

Kweli ndio tuseme vijana wote wapo mijini? Miji yenyewe ya maana haifiki hata mitano.., tuelezwe, watu milioni 60 wapo wapi?!

Imagine hata sehemu kama Sinza na Tabata, now adays zinadorora hadi inashangaza, tofauti na miaka ya nyuma, usiku Sinza siku hizi ukioita hakuna tofauti na Mtwara vijijini, mapub yajo totally empty, taa tu zinawaka waka hopelessly?! Watu milioni 60 wako wapi?!

Sabasaba iliyopita nilienda, sikuamini nikichokiona, ita hopeless, tukiwahi kupelekwa sabasaba miaka ya nyuma na wazazi wetu, shamrashamra lake halikuwa la kawaida, ila this time around it was too sad, it felt unimaginably lonely, sooo hopeless, hakuna watu, watu milioni 60 wako wapi?!
Hata mimi nimeliona hilo.watu wengi hukimbilia mijini ambako kuna maisha bora zaidi.Wazee vijijini hawana nguvu ya kuzalisha mali na vijana wamekata tamaa kwa sababu wanajilinganisha na wenzao wa mijini.Naamini sera ya majimbo ingeondoa shida hii kwa kutoa mamlaka kwa mikoa kubuni maendeleo yao wenyewe bila kuingiliwa na serkali kuu.Raslimali za mikoa hiyo kutumika kuendeleza watu wa maeneo yake.Hii itapunguza vijana kukimbilia mijini kwani miji tena mizuri imeundwa karibu na vijijini kwao.Watumishi wengi huchukua likizo lakini hawendi vijijini walikotoka.Hili nalo ni shida.
 
Back
Top Bottom