National crisis: Vijijini hakuna watu kabisa, wamebaki wazee wachache na vijana walevi wa visungura

 

Attachments

  • IMG_4535.jpeg
    125.2 KB · Views: 2
Kuna sababu nyingi sana ndugu yangu vijijini ni kweli watu hawaonekani ila sababu kubwa ni hao wazee wenyewe wameroga mpaka mtu anaapa akitoka harudi tena sasa wazee waliobaki ndio hao hao hakuna anayetaka kurudi kwao maana akorudi na pikpiki tu wanafyeka njiani haswa mikoa ya pwani huko kuna kiji nakijua aisee kile kijiji kina ukoo mmoja wasomi hatar lkn walivyokufa acha tu wakijaribu kuendekeza kwao basi kila mtu aliishia msingi tu kafa ,badae walijua wazee wa pale wivu mwingi sanaa watoto waliapa hawrudi tena aisee kile kijiji nakwambia kimeishaa kabisa hakuna anaekwenda tena pale waliobaki ni vizee kabisa wanasubiei kufa tu,wameyataka wenyewe watanzania wengi sasa hv akifanikiwa kuondoka nchi aisee harud tena na akijenga bas mjini, vijijini waaache uchawi aisee
 
Hii ni mada nzuri sana ni wachache san wanaweza kuhoj na kujiuliza swal.kam hili kiukwel tz hakina watu m60 ni uongo watu hawzai mashog weng lesbian tz hakun watu m60 mbaya zaid hamn hat vita usem wta wamefia vitani
Asee kuna pande za nchi ndo zipo hivyo..........ila kuna pande watu bado wanafyatua kama zamani tu, hasa maeneo ya kanda ya ziwa na hii mikoa ya kati kuelekea nyanda za juu kusini,,,,,ila ukija maeneo ya pwani, kaskazini ni shida
 
Mkuu, Serikali ndio mpish mkuu wa hizo Data,....kama kuna vitu unapaswa kuvikataa kutoka uvungu wa moyo wako, basi ni takwimu zinazotololewa na serikali ya hii nchi,...🚮🚮🤧
Nilikutana na dogo mmoja alienda kuhoji kaya moja yenye watu 10, within 15 minutes alikuwa amemaliza zoezi zima, hahahahaa
 
Bangi ya wapi hiyo!? Achana nayo haraka kabla hujadhalilika.
 
Siku hizi hawaendi Sinza tena, wanaenda Tabata na maeneo mengine ya pembezoni mwa mji.
Huwezi amini lile bata la Sinza siku hata ukiwa Ukonga na Mbagala unalipata kwa viwango vilevile na kwa bei nafuu.
Kuhusu sabasaba watu ujinga umeshawatoka maana hakuna kipya tena cha kufuata 77 maana huduma zote zinapatikana jirani na makazi yao au wengine hununua bidhaa online na kufanyiwa delivery mpaka mlango sasa kwanini uende kusongamana 77?
Kwa mantiki hiyo ile misongamano sehemu nyingi imepungua baada ya watu kusogezewa huduma mbalimbali jirani na maeneo yao.
Tofauti na zamani kariakoo kulikuwa na msongamano watu wengi kwenda kuunga usafiri na kufuata bidhaa wakati hivi sasa mtu wa mbagala akitaka kwenda Goms au Ubungo hasumbuki kufika tena kariakoo tofauti na hiyo miaka ya nyuma ambapo kariakoo ndiyo ilikuwa sehemu ya watu kuungia usafiri kufika maeneo mbalimbali ya jiji
 
Nilijua tu huu uzi unawahusu warombo
 
Big post
 
Reactions: Tsh
Wapi hiyooo
 
Ongea ukweli huuu ni mkoa wa Kilimanjaro
 
Inashangaza sana na sijui unazungumzia vijiji vya wapi manake Kilimanjaro huko vijijini watu hakuna tena zaidi ya 90% walishakimbia tangu miaka ya 70, hakuna watu na inabidi kitu kikubwa kifanyike manake hata nyani na ngedere wameanza kuwa wengi mno!
 
Inashangaza sana na sijui unazungumzia vijiji vya wapi manake Kilimanjaro huko vijijini watu hakuna tena zaidi ya 90% walishakimbia tangu miaka ya 70, hakuna watu na inabidi kitu kikubwa kifanyike manake hata nyani na ngedere wameanza kuwa wengi mno!
Hapa Dar huu ni msimu wa sikukuu, ila mitaani kumepooza, kuku tu ndio wamezagaazagaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…