Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
NATO wametoa tamko kuwa kama ikitokea Russia akalipua kituo cha nyuklia ,basi ajue amevunja kifungu namba 5 cha NATO.
Hivyo NATO itachukulia jambo hilo kama direct provoked ,na linaashiria kuwalenga wanachama wa NATO.
Hivyo italazimu NATO kuingililia direct,hapa sasa ndio patamu maana NATO wanamtafutia Russia sababu ya kumchapa live.
Chanzo cha habari hii ni aljazeeera
Hivyo NATO itachukulia jambo hilo kama direct provoked ,na linaashiria kuwalenga wanachama wa NATO.
Hivyo italazimu NATO kuingililia direct,hapa sasa ndio patamu maana NATO wanamtafutia Russia sababu ya kumchapa live.
Chanzo cha habari hii ni aljazeeera