NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Hizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine inayosaidia mashambulizi dhidi yake.

Hawa NATO hawajitokezi waziwazi front lakini wapo..

Lengo la andiko hili kwa wasomaji wenzangu na wafuatiliaji wa vita hapa duniani ni kuelezea udhaifu wa nchi ya Ukraine na mtego wa NATO katika hii vita. Kwanza hawajampa uanachama mpaka leo kama target ya Ukraine na ombi lake la muda mrefu.

NATO wapo mguu nje mguu ndani ni kama hawana uhakika je tutashinda hii vita kwa kumsaidia Ukraine? ( ukweli ni kwamba hawawezi kushinda)

Russia amekua akipigana kiustaarabu sana kwa sababu kiuhalisia wayukreini wengi wana asili ya urusi na hawataki hii vita ila maslahi ya marekani na NATO vita hii inachochewa.

Leo uingereza huyu waziri mkuu mpya ametoa agizo kuwa silaha za uingereza ziishambulie urusi moja kwa moja. Kwa mtazamo wangu sasa putin atafungua ghala la silaha maana ni kama vita ya NATO na Russia imetangazwa rasmi. Lakini atakeumia hapa ni Ukraine na mwisho wa siku Ukraine atabaki kama alivyo hatapewa uanachama wa NATO na atakua koloni la mrusi totally.

Screenshot_20240710_193225_X.jpg
 
Hizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine inayosaidia mashambulizi dhidi yake.

Hawa NATO hawajitokezi waziwazi front lakini wapo..

Lengo la andiko hili kwa wasomaji wenzangu na wafuatiliaji wa vita hapa duniani ni kuelezea udhaifu wa nchi ya Ukraine na mtego wa NATO katika hii vita. Kwanza hawajampa uanachama mpaka leo kama target ya Ukraine na ombi lake la muda mrefu.

NATO wapo mguu nje mguu ndani ni kama hawana uhakika je tutashinda hii vita kwa kumsaidia Ukraine? ( ukweli ni kwamba hawawezi kushinda)

Russia amekua akipigana kiustaarabu sana kwa sababu kiuhalisia wayukreini wengi wana asili ya urusi na hawataki hii vita ila maslahi ya marekani na NATO vita hii inachochewa.

Leo uingereza huyu waziri mkuu mpya ametoa agizo kiwa silaha za uingereza ziidhambulie urusi moja kwa moja. Kwa mtazamo wangu sasa putin atafungua ghala la silaha maana ni kama vita ya NATO na Russia imetangazwa rasmi. Lakini atakeumia hapa ni Ukraine na mwisho wa siku Ukraine atabaki kama alivyo hatapewa uanachama wa NATO na atakua koloni la mrusi totally.

View attachment 3038710
huez hata jishonea chupi , upo busy kuwazungumzia mabeberu
 
Hizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine inayosaidia mashambulizi dhidi yake.

Hawa NATO hawajitokezi waziwazi front lakini wapo..

Lengo la andiko hili kwa wasomaji wenzangu na wafuatiliaji wa vita hapa duniani ni kuelezea udhaifu wa nchi ya Ukraine na mtego wa NATO katika hii vita. Kwanza hawajampa uanachama mpaka leo kama target ya Ukraine na ombi lake la muda mrefu.

NATO wapo mguu nje mguu ndani ni kama hawana uhakika je tutashinda hii vita kwa kumsaidia Ukraine? ( ukweli ni kwamba hawawezi kushinda)

Russia amekua akipigana kiustaarabu sana kwa sababu kiuhalisia wayukreini wengi wana asili ya urusi na hawataki hii vita ila maslahi ya marekani na NATO vita hii inachochewa.

Leo uingereza huyu waziri mkuu mpya ametoa agizo kiwa silaha za uingereza ziidhambulie urusi moja kwa moja. Kwa mtazamo wangu sasa putin atafungua ghala la silaha maana ni kama vita ya NATO na Russia imetangazwa rasmi. Lakini atakeumia hapa ni Ukraine na mwisho wa siku Ukraine atabaki kama alivyo hatapewa uanachama wa NATO na atakua koloni la mrusi totally.

View attachment 3038710
Hizi ndege zimekuja kwa kuchelewa.....

Ukraine ingepata msaada wa kutosha toka awali hali ingekuwa njema upande wake.

T14 Armata
 
Hizi ndege zimekuja kwa kuchelewa.....

Ukraine ingepata msaada wa kutosha toka awali hali ingekuwa njema upande wake.

T14 Armata
Ukraine hawezi kupigana na urusi. Hizi ndege zinakuja na marubani 25 waliopewa mafunzo ya kuzirusha huko Denmark maana yake hata marubani hawana unafikiri wanaweza kupigana mwaka mmoja mbele kutoka sasa?
 
Huu mgogoro nilifatilia ile miezi ya kwanza kwanza tu, russia anataka nini, ukraine anataka nini na nato nao wanataka nini?
Ni kama leo ww unataka uendelee kuwa tajiri # 1 Tanzania utafanyaje??,au unataka uendelee kuwa Rais wa Tz milele utafanyaje???
Ndicho USA anataka ila anatumia migongo ya mataifa ya Ulaya.
 
Ukraine imekubali nchi yake kuwa uwanja wa majaribio.
Russia ataichakaza vibaya sana na NATO wataipotezea .we jiulize nini kinazuia mpaka leo wasiipe NATO uanachama wa umoja wa ulaya na marekani kiulinzi ? Jibu ni kuwa hawana uhakika kama hii vita watashinda ama laa. Jibu la uhakika ni kuwa Russia ataibamiza vibaya sana Ukraine.
 
Zelensiky ameshawaambia NATO silaha wanazompa hazitoshi kupambana na adui! Kwa mfano hizo F16 40 ni chache kulinganisha na ndege 300 ambazo Russia inazitumia kupambana na Ukraine.
Sasa anapigana vipi kwa kutegemea silaha za msaada? Aachane na mpango wake wa kuwakaribisha maadui wa Russia kwenye mipaka ya urusi. Naamini marekani leo hawezi kuvumilia Iran au urusi awake kambi za jeshi Canada .
 
Back
Top Bottom